Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,563
- 2,612
Kuna Mdada alikua Ana muhadithia mwenzie kuhusu mie....eti yule mkaka Ana maneno matamu!!Sio kusifiwa tu yale maneno matamu yana raha yake.... Yani asipokutafuta mtu unakonda kwa mawazo
Huku ananizungushaaaa....Ahahahahaha.... nikasema wadada bana!!
Chefuuuuu