Ukweli kuhusu kutongoza

kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake

Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
haaa haaa kwan ulitaka akuambiaje? Mimi nakuchana live nimevutiwa na wewe na ninaomba compani yako kuspend na kushirikiana kwenye maisha n so on. ata ivyo siku iz kupitia story unajikuta ushamtongoza mtu
 
Wanawake wa siku hzi hawatongozwi wanakuja wenyewe we una score tu.

Ni jinsi unavyojiweka...play like ur the prize/trophy to be won utaja niambia. Otherwise mtaishia kurusha vocha tu wenzio wala. Tehe
Mkuu ni kweli kabisa!
Hata wao wanajisemea mambo ya kutongozana ya nini?
Akikuelewa tu kesho anakuja anapika na kupakua na nguo zinaanza kuhamishwa mara kajifanya kusahau mtandio mara brazier na hatimaye mkoba then anamaliza na begi
NOTE: usipokua makini na washenga wanaandaa wenyewe na mahali wanajilipia!
 
Yani mitongozo ingine ni kujishushia heshima tu
Kuna boya mwingine nae nlimkuta kwenye ofisi moja eeh tumesalimiana ana Pete ya ndoa akasema anakuja kunihudumia kurudi kavua Pete kabaki na alama sijui Pete alivaa kabla ya uhuru..... Nilimuona bolizozo kweli mxyuuuu
Huyo ndio poyoyo kabisa! Alidhani hujamstukia. Wanavua ili watongoze vizuri....
 
KILA UNAPONIUMIZA HUWA NAJIHUKUMU MWENYEWE,
HII INAONESHA JINSI GANI NNAKUPENDA,

KAMA ILIVYOKUWA VIGUMU KUMUUMIZA MAMA'ANGU,
BASI NDIO ILIVYOKUWA VIGUMU ZAIDI KULIDONDOSHA CHOZI LA MPENZI WANGU.

SO NIKIMSALITI MPENZI WANGU NAONA NAFSI YANGU ITANISUTA KWA KILE KIAPO CHA MUDA MREEEFU NLICHOJIWEKEA KWAMBA
" KAMA IKITOKEA NIMEMPATA MPENZI BASI DAIMA NITAMPENDA, NITAMUHESHIMU, NITAMLINDA , NITAMJALI NA KUMTHAMINI PIA"..


siwezi kukuahidi kuwa milele sintokufanya ulie, ila kama ikitokea ivyo, basi NAKUAHIDI kukufanya utabasamu kabla hata machozi hayajakauka mashavuni mwako...

MWENZAKO NAJUA KUPENDA SIJUI KUACHA, HIVO NAOMBA UNIRUHUSU NIKUPENDE MPAKA KUFA KWANGU.... I LOVE YOU
 
Yani mitongozo ingine ni kujishushia heshima tu
Kuna boya mwingine nae nlimkuta kwenye ofisi moja eeh tumesalimiana ana Pete ya ndoa akasema anakuja kunihudumia kurudi kavua Pete kabaki na alama sijui Pete alivaa kabla ya uhuru..... Nilimuona bolizozo kweli mxyuuuu
Hahaha gelofriend nimechekaje. Hawa ndugu wanajikutaga wajanja while unaona kidole kimeshaweka kabisa alama ya pete
 
Yani mitongozo ingine ni kujishushia heshima tu
Kuna boya mwingine nae nlimkuta kwenye ofisi moja eeh tumesalimiana ana Pete ya ndoa akasema anakuja kunihudumia kurudi kavua Pete kabaki na alama sijui Pete alivaa kabla ya uhuru..... Nilimuona bolizozo kweli mxyuuuu
Daaah umenikumbusha mbali, jamaa mwenye hilo jina alikua bonge la mchezaji..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom