Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
We inaonekana shem alipata shida sana aisee..Nilitamani angekua pembeni nimpige Kofi kwenye upara wake kama sahani
We inaonekana shem alipata shida sana aisee..Nilitamani angekua pembeni nimpige Kofi kwenye upara wake kama sahani
ha ha kama hamna neno pesa.. hamna neno ntakununulia hik...KILA UNAPONIUMIZA HUWA NAJIHUKUMU MWENYEWE,
HII INAONESHA JINSI GANI NNAKUPENDA,
KAMA ILIVYOKUWA VIGUMU KUMUUMIZA MAMA'ANGU,
BASI NDIO ILIVYOKUWA VIGUMU ZAIDI KULIDONDOSHA CHOZI LA MPENZI WANGU.
SO NIKIMSALITI MPENZI WANGU NAONA NAFSI YANGU ITANISUTA KWA KILE KIAPO CHA MUDA MREEEFU NLICHOJIWEKEA KWAMBA
" KAMA IKITOKEA NIMEMPATA MPENZI BASI DAIMA NITAMPENDA, NITAMUHESHIMU, NITAMLINDA , NITAMJALI NA KUMTHAMINI PIA"..
siwezi kukuahidi kuwa milele sintokufanya ulie, ila kama ikitokea ivyo, basi NAKUAHIDI kukufanya utabasamu kabla hata machozi hayajakauka mashavuni mwako...
MWENZAKO NAJUA KUPENDA SIJUI KUACHA, HIVO NAOMBA UNIRUHUSU NIKUPENDE MPAKA KUFA KWANGU.... I LOVE YOU
Nikufiche mahali tulivu penye privacy tule,tunywe tuongee.......kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
Nimekuwa nikifuatilia thread nyingi zinazoponda wanaume wa siku hizi kuwa hawajui kutongoza. ..
Nikashangaa sana.... sasa kama wanaume hawajui kutongoza inakuwaje wanawapata wanawake.
challenge nnayoleta jamvini kama kweli kuna mafundi wa kutongoza wamewahi kuwatongoza ....embu weka humu hiyo mitongozo inayoweza shinda tuzo za Grammy ili vijana wa jifunze. ..
nitahitimisha kuwa mlikuwa mnazoza tu baadae.
Hayo maneno atleast umwambie mtu mliezoeana au mtu ambae ameonesha dalili za kukupenda /kukutaka......sio mtu umemuona leo tena kwa ishu za kikazi unaanza na swaga za kiboya kumficha inatia kinyaaNikufiche mahali tulivu penye privacy tule,tunywe tuongee.......
Hakupata shida namie nlikua nshampenda so nilimrahisishia shughuli ha ha haWe inaonekana shem alipata shida sana aisee..
Aiseeee.....kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu

Hiyo ndo ilikuwa pona yakeHakupata shida namie nlikua nshampenda so nilimrahisishia shughuli ha ha ha
Nipe mimi hizo mistari nifuate kanuni...wewe ni domo zege sema tukupe mistari.
swissme
Wengine wasikuone uwe peke yako wa yeye tu. Jamaa mbona alipatia kwani ww ulitaka asemeje...?kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
Mwanamke ata kabla ya kumtongoza anajua jibuHa haaa tena siajabu hapo amejikakamua mpaka mwisho
Ungemuuliza kama kuna pozi lingine lililobaki ndo ungejua kama kamaliza hau la.kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
mkuu its very easy to have beautiful girls like what you think.Nipe mimi hizo mistari nifuate kanuni...
Ha ha ha ha ha imebidi nicheke tuWengine wasikuone uwe peke yako wa yeye tu. Jamaa mbona alipatia kwani ww ulitaka asemeje...?