Ukweli kuhusu kutongoza

Ukweli kuhusu kutongoza

mkuu its very easy to have beautiful girls like what you think.

swissme
Mbona sasa unazungusha sana maada...?! Hiyo ndo mistari? Hapa nilikuwa nimeshaandaa kalamu na karatasi kwa ajili ya kuanda nondo ili cku nikimtokea demu nisikose ya kumwambia. Sasa mmh..!!
 
Mbona sasa unazungusha sana maada...?! Hiyo ndo mistari? Hapa nilikuwa nimeshaandaa kalamu na karatasi kwa ajili ya kuanda nondo ili cku nikimtokea demu nisikose ya kumwambia. Sasa mmh..!!
hahahaha .je unataka demu unayemjua au ndio mara ya kwanza kuonana nae.


swissme
 
Yani mitongozo ingine ni kujishushia heshima tu
Kuna boya mwingine nae nlimkuta kwenye ofisi moja eeh tumesalimiana ana Pete ya ndoa akasema anakuja kunihudumia kurudi kavua Pete kabaki na alama sijui Pete alivaa kabla ya uhuru..... Nilimuona bolizozo kweli mxyuuuu
Teh! Teh! Teh! Umekutana na mengi mkuu. Teh!
 
Nimekuwa nikifuatilia thread nyingi zinazoponda wanaume wa siku hizi kuwa hawajui kutongoza. ..

Nikashangaa sana.... sasa kama wanaume hawajui kutongoza inakuwaje wanawapata wanawake.

challenge nnayoleta jamvini kama kweli kuna mafundi wa kutongoza wamewahi kuwatongoza ....embu weka humu hiyo mitongozo inayoweza shinda tuzo za Grammy ili vijana wa jifunze. ..

nitahitimisha kuwa mlikuwa mnazoza tu baadae.
We ukimwona mwonyeshe hela tu mpe atm card yako na password
Atakupendaje...
Tuletee mlejesho
 
  • Thanks
Reactions: R.K
Cjui wakaka wengne uwaga wanawaza nini,
Kuna likaka lilianiambia " we ni mzuri hata wakina wema sepetu na jackline uwoya hawajakufkia"
Afu akaongeza "mtoto mzur ngekuwa na gar ngekuachia funguo, hufai kutembea na miguu"
 
Kiukweli mimi siwezagi kukaa na demu alafu kuanza kumwambia ila mademu zangu wote niliowahi kuwa nao inatokea tu tunapendana then anakuwa wangu na nimeshazoea vibaya siwezi tena kutongoza
 
siku hizi hatutongozi tunapiga field kwanza
 
Ila kusema ukweli ni raha sana kutongozwa na mtu anaejua kutongoza yani unatamani asichoke awe anaendelea tu kukutongoza kila siku
 
kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake

Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
Sana yani hata kama ulikuwa unamzimiaga unaghairi..... Au yule wa sisi wote wakubwa twende ukanipe basi Chefuuuuu
 
Na kuna wale wa hivi siku zote hizo bado hujaelewa tu nia yangu? Hivi nikufanyieje mpaka unielewe ( sasa anataka wewe ndo umfundishe kutongoza lol)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom