Hilo neno nakupa miatafuteni kiwanja mjenge haifai kujenga upande wa mke wala upande wa mume.....
akienda kwao atafikia wapi yeye na familia yake au ndo kujibana na wazazi kwenye kibanda kimoja.
mimi hii mada sijaielewa ,inamaana kujenga ukweni kwenye kiwanja cha mke wako kwao ,au kwa baba mkwe wako ili waishi na familia yake au kusema mimi ni wa arusha ,then mume wangu anajenga nyumba pande hizo?tafuteni kiwanja mjenge haifai kujenga upande wa mke wala upande wa mume.....
Passion Lady halafu sina hata kiwanja, kwetu ndio choka mbaya, wazazi wanaishi pangoni
unaweza kuta Bujibuji ndio kajenga ghorofa kabisa ukweni!
anatuzeveza tu!
Nivea unipendae, namaanisha kujenga ukwenu wakati nyie binafsi mnaishi maisha mabovu kwenye nyumba ya kupanga. Tena hela yenyewe ni ya mkopo wa saccosmimi hii mada sijaielewa ,inamaana kujenga ukweni kwenye kiwanja cha mke wako kwao ,au kwa baba mkwe wako ili waishi na familia yake au kusema mimi ni wa arusha ,then mume wangu anajenga nyumba pande hizo?
wachagga sio maskini wa akili kama wewe na hasa hao wamachame nafikiri unawafananisha huwa hawajishindilii kwa watu na ukiwwakuta ni kwa muda tu wanatega ramani aisee i respect those pipo .unawafananisha na wapare wasammbaa na wadigo.oa mmachame kama hujajenga tena wanaleta familia nzima ukiishi naye
Passion Lady halafu sina hata kiwanja, kwetu ndio choka mbaya, wazazi wanaishi pangoni
nakumbuka mume wanguanasemaga tukajenge huko kwao na kwetu incase tuu wazee tupate pakufikia sio kwa wazazi,hii kitu niliipinga 100%na nikamwambia bora tununue kiwanja hapa mjini tujenge nyumba tupangishe kuliko kuweka nyumba ambayo haiingizi chochote .lakini all in all sipendi huo mchezo .kama hao wazazi hawakuweza kujenga baaasi tutakarabati zilizopo.nitasimamia hili hakuna kujenga huko ukweni either kwetu au kwao.zilizopo zinzosha kabisaNivea unipendae, namaanisha kujenga ukwenu wakati nyie binafsi mnaishi maisha mabovu kwenye nyumba ya kupanga. Tena hela yenyewe ni ya mkopo wa saccos
nakumbuka mume wanguanasemaga tukajenge huko kwao na kwetu incase tuu wazee tupate pakufikia sio kwa wazazi,hii kitu niliipinga 100%na nikamwambia bora tununue kiwanja hapa mjini tujenge nyumba tupangishe kuliko kuweka nyumba ambayo haiingizi chochote .lakini all in all sipendi huo mchezo .kama hao wazazi hawakuweza kujenga baaasi tutakarabati zilizopo.nitasimamia hili hakuna kujenga huko ukweni either kwetu au kwao.zilizopo zinzosha kabisa
nakumbuka mume wanguanasemaga tukajenge huko kwao na kwetu incase tuu wazee tupate pakufikia sio kwa wazazi,hii kitu niliipinga 100%na nikamwambia bora tununue kiwanja hapa mjini tujenge nyumba tupangishe kuliko kuweka nyumba ambayo haiingizi chochote .lakini all in all sipendi huo mchezo .kama hao wazazi hawakuweza kujenga baaasi tutakarabati zilizopo.nitasimamia hili hakuna kujenga huko ukweni either kwetu au kwao.zilizopo zinzosha kabisa
mmh! sijui mimi nikoje jamani, but ukweli ni kwamba ukweni kwangu mimi yaani kijijini alikoasilika mume wangu nimejenga and hii ilikuwa ni kitu cha kwanza kabisa, hii ilitokana na ukweli kwamba sipendi kufika ukweni nalala chumba ambacho nikitoka wifi anakuja kulala humo humo. kwa miaka kama miwili ama mi3 nilivumilia kulala kwenye nyumba ya baba na mama (wakwe) but tuliomba kihamba tukajenga ya kwetu kiasi kwamba siku tukienda kijijini basi tunalala kwetu kwa raha zetu.nakumbuka mume wanguanasemaga tukajenge huko kwao na kwetu incase tuu wazee tupate pakufikia sio kwa wazazi,hii kitu niliipinga 100%na nikamwambia bora tununue kiwanja hapa mjini tujenge nyumba tupangishe kuliko kuweka nyumba ambayo haiingizi chochote .lakini all in all sipendi huo mchezo .kama hao wazazi hawakuweza kujenga baaasi tutakarabati zilizopo.nitasimamia hili hakuna kujenga huko ukweni either kwetu au kwao.zilizopo zinzosha kabisa