kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 939
We KyanaKyoMuhaya, mi sijawahi sikia mwanamke kujenga ukweni
Mbona wengi tu, tunawafichia siri sana wanaume, tena wanajenga wakwe, uliza waliooa kwenye Geti kali.
We KyanaKyoMuhaya, mi sijawahi sikia mwanamke kujenga ukweni
kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
Mwanamalundi hizo gharama unamdai nani? mwenzako au wakwezo?
Wakwe. Maana kama ni mahari ulishalipa siku nyingi. Sasa wataendelea kutanua kwenye jasho lako wakati binti yao anatunua na mwanaume mwingine. Huwezi kufanya lolote. Lakini ndio imetoka. [/QUOTE Mwanamalundi ni kujifariji tu kwa maneno, BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE, majaribu ni mtaji
Umkondo wa Swize kabla ya kuoa unatakiwa umtangulize Mungu, wanawake wengine wana mikosi, na wengine wana pepo la ufukara.
Haya mambo si rahisi rahisi aiseeee
Hata mimi nilikua siamini kama naweza kujenga ukweni lakini sijui walinilisha nini bwana nimewajengea na gari ya kubeba majani ya ngombe nimewanunulia. Unachezea Mpalestina wewe?
Mwanamalundi ni kujifariji tu kwa maneno, BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE, majaribu ni mtajiWakwe. Maana kama ni mahari ulishalipa siku nyingi. Sasa wataendelea kutanua kwenye jasho lako wakati binti yao anatunua na mwanaume mwingine. Huwezi kufanya lolote. Lakini ndio imetoka.
:A S 39: kumbuka baba ni kichwa cha familia
kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara