Ukweli kuhusu kujenga ukweni.

Ukweli kuhusu kujenga ukweni.

Unajua mkuu Bujibuji, kodi ya mwaka hapa mjini unajenga nyumba ya kueleweka huko tunakotoka.
Binafsi kama naweza kupanga mjini na wazazi wangu hawaishi sehem nzuri siwezi kabisa kuwa comfortable hata kama naishi Oysterbay/Masaki.

Mwita Maranya anachotaka ni amani na furaha kwenye ndoa yake, unadhani mwaJ akiwa na furaha ya kuona wazazi wake wanaishi kwenye nyumba nzuri hajisikii vizuri? na hilo haliongezi uimara na upendo kwenye ndoa?

Kuna baraka zake unapowakumbuka wazazi kwa kuwapatia sehem nzuri ya kuishi hasa kama uwezo unaruhusu, usiseme kujenga kwa wakwe ni kama kujenga kwenye hifadhi ya barabara mkuu.
Mkuu hapa alikuwa anamaanisha purukushani za ndoa nyingi zilivyo sasahivi kuwa unakuwa huna uhakika wa mali ile muda wowote linaweza tokea lolote
 
Mkuu hapa alikuwa anamaanisha purukushani za ndoa nyingi zilivyo sasahivi kuwa unakuwa huna uhakika wa mali ile muda wowote linaweza tokea lolote

Sasa kamanda ukishawajengea nyumba hiyo si ni mali yao? au mkiachana na wife unachukua kila ulichowahi kuwasaidia?
Kama nimemuelewa Bujibuji, amelinganisha kauli ya MwaJ na yangu hapo juu, tatizo la Mwita Maranya kujenga gorofa kwa wakwe kabla ya kujenga kwao na alipoamua kujenga kajenga kibanda.
 
Last edited by a moderator:
thubutu,mbona tukimpeleka marehemu kwao tukikuta nyumba za ajabu tunamlaumu marehemu hakujenga kwao wakati alikuwa na pesa,kwanini tusiwaseme wazazi kwanini hawakujenga sio wazazi wote wana uwezo wa kujenga nyumba nzuri ndo maana nguvu zao wanawekeza ktk elimu ya watoto wao ili wawakomboe kimaisha,kama una akili timamu huwezi kuwatelekeza wazazi wako kijijini kisa hawakujijenga kabla hawajazeeka hizi ni porojo tu ukute ww umeshajenga huko unatuzuga hapa.


Kwa maana hiyo unatakiwa ujenge kwa mume na sio ukweni kwakuwa hata mkifa mtazikwa kwa mume!
 
kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
Aisee umeongea ukweli, kuna jamaa namfahamu alipewa zawadi ya kiwanja kwenye harusi na baba mkwe. Kajitahidi kasimamisha ghorofa yake 1. Siku hizi kila akigombana na mkewe neno la kwanza ni "kama umenichoka uondoke uniache na nyumba yangu na wanangu"
 
Kwa mtizamo wangu, kujenga popote ni sawa tu endapo mnaishi sehemu ile, kwa mfano we mhaya umeoa morogoro na kazi mnafanyia morogoro na mkeo! Sasa kwanini msijenge morogoro kuepusha suala la kodi? Tatizo linakuja Kama mkeo hajishughulishi na familia ya mume, hapo inakua ni ufala maana mke asipoonyesha upendo vizuri kwa wakwe zake kule bukoba basi ujue kuna siku ndoa itaenda mramba na itakua imekula kwako! Ndoa nyingi zina Siri kubwa sana coz utaona Kama mume na mke wanapendana saaana kumbe kuna mambo ya chini kwa chini yanafukuta kila Mara na yanawanyima usingizi! Ndoa Kama hizi zinavunjika any tym na Kama mume ni mjannja lazima aishi kwa tahadhari sikuzote!
 
Sasa kamanda ukishawajengea nyumba hiyo si ni mali yao? au mkiachana na wife unachukua kila ulichowahi kuwasaidia?
Kama nimemuelewa Bujibuji, amelinganisha kauli ya MwaJ na yangu hapo juu, tatizo la Mwita Maranya kujenga gorofa kwa wakwe kabla ya kujenga kwao na alipoamua kujenga kajenga kibanda.
Ok ukichukulia huo mfano sawa ila ukichukulia hiyo content yake kwenye uzi ni kwamba ishu sio kujenga ila ishu risk ya kujenga ukweni akaifaninisha ni sawa na risk ya kujenga kwenye hifadhi ya barabara kwa maana muda wowote linaweza tokea lolote. nahilo swala la kuwaachia hao wazazi wa mke hata kama mkiachana ndio huko kujenga kwenye hifadhi ya barabarani kwaana inakuwa tena sio mali yako ukisoma thread ya 86 naona jamaa ameelewa kama nilivyofikiri na katolea mfano kabisa
 
wachagga sio maskini wa akili kama wewe na hasa hao wamachame nafikiri unawafananisha huwa hawajishindilii kwa watu na ukiwwakuta ni kwa muda tu wanatega ramani aisee i respect those pipo .unawafananisha na wapare wasammbaa na wadigo.

Nivea unatumia kinywaji gani?
 
Last edited by a moderator:
Umkondo wa Swize kabla ya kuoa unatakiwa umtangulize Mungu, wanawake wengine wana mikosi, na wengine wana pepo la ufukara.
Haya mambo si rahisi rahisi aiseeee
i agree with you Bujibuji ni lazima kuomba toba sana kwa Mungu ili husikutane na mwanamke mwenye mapepo na majanga mengine
Kutafuta ujiko tu, mjini huna hata kiwanja, baba yako anaishi pangoni wewe unakopa hela saccos ukajenge ukweni
no, no mama yangu hawezi kuishi pangoni halafu nikaenda kujenga ukweni, thats impossible kamanda Bujibuji
 
BONGOLALA mademu wa kichagga na kimakonde wepi noma?
Nasikia ukioa Mmakonde, ukaenda Mtwara kikazi, basi imekula kwako, kurudi kwenu ni sawa na embe lililoanguka ulirudishe mtini.
Kama hali ndiyo hiyo (kwa Wamakonde) afadhali kuoa Mchagga.
 
i agree with you Bujibuji ni lazima kuomba toba sana kwa Mungu ili husikutane na mwanamke mwenye mapepo na majanga mengine
no, no mama yangu hawezi kuishi pangoni halafu nikaenda kujenga ukweni, thats impossible kamanda Bujibuji
Hata mimi nilikua siamini kama naweza kujenga ukweni lakini sijui walinilisha nini bwana nimewajengea na gari ya kubeba majani ya ngombe nimewanunulia. Unachezea Mpalestina wewe?
 
Back
Top Bottom