Ukweli Kuhusu Electronic Fiscal Devices ( EFDs)

Hii issue kweli wafanyabiashara wameamua kuipotosha...issue sio bei za machine coz hizo bei ni TRA wenyewe ndio wanaolipia kupitia makato ya kodi...hakuna mfanyabiashara anae nunua ile mashine kwa hela yake mkononi....ni TRA ndio itakayofanya setoff kwenye kodi....wakubwa msirukie mada kabla ya kuielewa vzr na kuanza kulaumu...huu ukwepaji kodi hauvumiliki....its time kila mtu alipe kodi sasa.
 
Tatizo kuu linatusumbua Watanzania ni kufanya mambo bila malengo na mpangilio maalum. Akili za kuzima moto haziwezi kutufikisha popote pale. Kunahitajika akili ya kuzuia moto katika kupambana na mazingira na maswala mbali mbali.

Kama kungekuwa na umoja wa wafanyabiashara kusingekuwepo na mazingira ya TRA kujiamulia mambo kama haya bila kuwahusisha kwanza wadau ili kuepuka migongano na sintofahamu kama hizi.

Where is the role of The Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA) with their slogan said "alone you are weak, together we are strong". Wamefanya kazi gani katika kuwaunganisha wafanyabiashara na TRA kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara katika majukumu yao ili wawe pia linkage na Wizara ya fedha.

Where is the role of PAC, Economic Affairs, Industries and Trade Committee and also Budget Commettee katika kuwaunganisha wafanyabiashara na hazina kupitia Wizara ya Fedha.

Wafanyabiashara wamefanya juhudi gani katika kuhakikisha wanakuwa wamoja katika majukumu yao ili kuwepo na sauti nzito na kali ambayo haiwezi kupuuzwa pindi inapopigwa na wafanyabiashara.

Kama kungekuwa na umoja katika jamii ya wafanyabiashara, ninaamini hata TRA wasingefanya mambo kienyeji na kwa kificho kwa kiasi hiki bila kuwashirikisha wadau kiasi kwamba kwa sasa hakuna anayefahamu vigezo vilivyotumiwa na TRA katika mchakato huu wa kutumia machine.

Lazima tubadilike na kuwajibika katika maeneo yetu ya kazi kitu ambacho kitafanya hata serikali na taasisi zake kuwajibika hata bila kupenda.
 

Swadakta. Mkuu umenena. Kama raia mwema unalipa kodi imlipe mbunge, itolewe ruzuku kwa vyama vya siasa au imlipe askari polisi mshahara. Halafu eti, mbunge atumie kodi yangu kubamba na kubaka binti zangu! Polisi niliyempa mshahara asifanye kazi yake barabara. Kiongozi wa chama auchune na mwingine wa chama kupitia wazazi amtetee 'mbakaji'?
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume think on your own,,usisaidiwe kufikiri,,tatizo lako umeshalishwa sumu kuhusu hizi machine na wakwepa kodi and you come here talking cheap.....hayamkini huna hata uelewa wa mambo ya kodi.poor you,,,unafatafata mkumbo tu??!!!!idiot.
 
issue sio tulia kodi mkuu, issue ni bei ya efds kuwa juu. umeelewa?
Mkuu issue sio bei coz bei TRA inakuja kufanya setoff kwenye kodi,,so hakuna mfanyabiashara hata mmoja atakayelipa kutoka hela yako mfukoni,,tusifuate mkumbi wakubwa na wala kulishwa sumu na hawa wakwepa kodi,,,issue hapa ni kuthibiti wakwepa kodi,,,they are damn rich kwa sababu ya kukwepa kodi na gap la masikini na tajiri linazidi kuongeza kwa sababu hiyo.
 
Kwa hizo mashine zimefungwa kamera ili kujua ni kitugani kimetok na kipi kimeingia? Kama jibu ni hapana wizi utakuwa palepale watauza na hawatatoa risti.

Wizi utakuwepo kwa kiasi kidogo na utapungua kwa kiasi kikubwa kama TRA wamedhamilia kufanya Mapinduzi ya kweli katika ukusanyaji wa kodi, kama wamejipanga, wanajua ni divice ipi inafaa kwa mazingira ya technology ya tanzania na wakatueleza ni jinsi gani watamonitor, watamanage na ku-control kuepuka mianya ya ukwepaji kodi, kutakuwa hakuna tatizo kabisa. Pia watafanikiwa zaidi kama wakiwa wawazi na wakweli, wakielimisha wananchi, na wakifanya kwa malengo ya kuinua uchumi kwa kupunguza mianya ya ukwepaji kodi na sio kufanya kama kwamba ni fursa ya biasasha kwa TRA.

The use of fiscal devices in the world can be divided into three main categories:

  1. Offline operating electronic fiscal devices with built-in fiscal memory (so called first generation fiscal devices);
  2. Electronic fiscal devices with Internet connection capabilities to the revenue authority central server (so called second generation fiscal devices);
  3. Electronic fiscal devices with Internet connection capabilities and latest use of various encryption methods for digital signing of each issued receipt (third generation fiscal devices).
Due to the main disadvantages which the first generation fiscal devices are having i.e. easy manipulation, lack of control from the tax office, no printing of fiscal receipts etc., the second generation fiscal devices are becoming more and more popular and many countries are changing their fiscal requirements and moving to Internet enabled fiscal devices (mostly using GPRS network) and implementing the so-called online Information and Tax Collection System.[SUP][

[/SUP]

Such kind of second generation fiscal devices are eliminating most of the problems which their predecessors were having. All fiscal cash registers and fiscal printers are connected online through the Internet to the central server and sending their reports and/or fiscal receipts in predefined time intervals. However these devices still have some black holes which are used by the majority of tax payers who are cheating and not paying their taxes. Such are: printing of fake fiscal receipts, manipulation of daily reports before they are sent to the tax office etc.
This is why the third generation fiscal devices were introduced and running successfully currently in several countries in the world. These kind of devices are very similar to the second generation devices but an additional software security is used for digital signing of every fiscal receipt. The third generation fiscal devices are eliminating all previously known issues and giving additional security to all tax agencies which are using such systems. Each fiscal receipt is digitally signed using unique signature printed either in the form of a 2D Bar Code or various characters depending on encryption rules in place. The tax administration can easily and quickly check if the issued receipt is authentic and correct.
 
Wangezigawa bure, kwanini vifaa vya kuwasaidia kwenye kazi yao wanunue wengine?
Basi askari nao waanze kununua bunduki wao wenyewe wanapoajiriwa.
 

Kwahiyo wanapewa Bure?
 
Mod, kama inawezekana nakuomba ufute posts za hasira na zisizo na lugha nzuri. Huu uzi sio wa ugomvi au wa kisiasa ni moja ya swala muhimu na la msingi katika taifa letu. Huu mradi pia utasaidia kujenga maadili katika biashara, hata mambo ya nipunguzie nipunguzie yatapungua au mambo la kulanguliwa !
Tatizo ni mchakato, ukweli na uwazi katika utekelezaji wa huu mradi.
 

Well stated!! Tatizo sio kodi ni hicho kidude chao.
 
Pamoja kuwa kulipoa kodi ni mada tofauti ukweli nikwamba wafanya biashara waliogoma wanachozungumzia ni kwamba hawataki machine.
Nawelewa kwamba machine zitawalazimu kulipa kodi ambazo wafanyabiashara hawa wamekuwa wakikwepa.

Ni wakati wafanyabiashara hasa wa kariakoo nao waanze kulipa kodi.
 
Pamoja kuwa kulipa kodi ni mada tofauti ukweli nikwamba wafanya biashara waliogoma wanachozungumzia ni kwamba hawataki machine.
Nawelewa kwamba machine zitawalazimu kulipa kodi ambazo wafanyabiashara hawa wamekuwa wakikwepa.

Ni wakati wafanyabiashara hasa wa kariakoo nao waanze kulipa kodi.
 

Ndugu, unajadaili NJE ya mada.
Hapa mjadala ni mashine zenyewe, yaani EFD. Kwamba, bei hali ya mashine hizo ni mara 15 chini ya bei wanazouza kwenye maduka yaliyopendekezwa na TRA. Kwa nini hali iko hivyo? Kwa nini TRA wasiache biashara ya EFD iwe huru kama zilivyo calculators na laptop?
 
Serikali ya wala rushwa haiwezi kukusanya kodi ipasasyo! Tehe tehe tehe tehe!!!!
 

naomba kuuliza swali ambalo liliulizwa na mtu huko nyuma

Je nchi za Ulaya, usa, south africa wanatumia mashine zipi?

Kenya na Rwanda wanatumia mashine zipi?
 

umenigusa sana mkuu.Watanzania hawa hawa wanaoona ugumu kulipa kodi kwa serikali,ndio hawa hawa wanaopanga foleni kuingia viwanja vya michezo,disko,kumbi za starehe tena kwa gharama kubwa,iweje hawapendi kulipa kodi?something must be wrong somewhere!watu hawaoni faida ya kodi ndio maana anaona bora hela yake anywe pombe ambayo hata kama ina negative impact lakini anaiona impact kuliko kupeleka pesa mahala pasipo na return au ndogo sana!
 
Last edited by a moderator:

Ndugu yangu, mimi ninafanya kazi Advatech Office Supplies hii ni kampuni imeanzia Kenya na ipo TZ, Zimbabwe, Rwanda, Uganda, Malawi, na sasa itafunguliwa ofisi Juba, South Sudan. Mimi ninafanya kazi ya ku Train operators (customers), ku install/program, ku repair, ku consult clients or new buyers, na ku sell hizi efd (E-Sign, Fiscal Printers, na ETR). Ninafanya kazi katika maeneo ya Dar, Moro, Dom, Singida, Tabora, Lindi na Mtwara. Najua mambo mengi sana kwenye hii industry.

Phase I ilianza 2012 na ni wale ambao revenue ni above TZS 40m kwa mwaka. Ukiachia domestic large tax payers, hawa domestic wadogo katika ile phase I walikuwa moto wa kuotea mbali kukubali kutumia EFD kipindi hicho 2010, ila leo hawana shida, wanakutafuta wenyewe uwauzie.

Kipindi cha phase I mashine ya bei rahisi mwanzoni ilikuwa ETR DP50 (mobile device) TZS 1.593m, ingawa kulikuwa na ETR zingine zilikuwa bei ya juu kidogo, kuhusu E-Sign na Fiscal Printer ilikuwa bei moto 3.5m na 2.7m respectively.

Warrant ilikuwa mwaka mmoja.

Hawa wa sasa phase II (siyo VAT registered, only TIN ila revenue zao kwa mwaka ni TZS 25m and above) ambao wanatumia EFD, ETR peke yake na hasa kwa ofisi yetu wanauziwa DP25 kwa 800,000/= na anaweza kulipa kidogo kidogo ila kwa kuanzia si chini ya 400,000/=. Hela ya kununua EFD atarudishiwa TRA kwenye return zake mpaka hela yote iishe, the same to phase I.
Warranty ni miaka mitatu (3).

Sometimes huwa tunailalamikia sana serikali, ila kiasili hawa walipa kodi wadogo hawapendi EFD kwa kuwa zinaweka mambo wazi sana hivyo kuwafanya wasiweze ku-dodge tax kirahisi. Wafanyakazi ndiyo walipa kodi wazuri sana nchi hii.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…