mkada
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,200
- 903
Hii issue kweli wafanyabiashara wameamua kuipotosha...issue sio bei za machine coz hizo bei ni TRA wenyewe ndio wanaolipia kupitia makato ya kodi...hakuna mfanyabiashara anae nunua ile mashine kwa hela yake mkononi....ni TRA ndio itakayofanya setoff kwenye kodi....wakubwa msirukie mada kabla ya kuielewa vzr na kuanza kulaumu...huu ukwepaji kodi hauvumiliki....its time kila mtu alipe kodi sasa.