Ukweli Kuhusu Edward Lowassa na Urais 2015

Ukweli Kuhusu Edward Lowassa na Urais 2015

J.K.Nyerere alisema,IKULU KUNA NINI?
kwa nini hizi sifa zisijitangaze zenyewe hadi kutumia nguvu nyingi sana.

Kila Kiongozi akisema ajitangaze aliyofanya kwa madaraka aliyopewa, Basi Magufuli angeonekana angalau amegusa maisha ya watu kwa kiasi fulani. Lakini yuko bize na ujenzi wa taifa. Huyu mkuu sijawahi kumsikia akitetea maslahi ya taifa bungeni tangu alipojiuzu. Kama taratibu za chama ziko wazi, sioni haja ya kuwa na wasiwasi kama mtu anafaa atapewa, kama hafai hata kama akipewa nchi kwa nguvu itamshinda.

Huu ni muda wa kijenga taifa na sio kutangaziana sifa za viongozi ambazo ni jitihada za watu wengi lakin zote apewe mtu mmoja. TAifa hili Bado liko nyuma sana kuanza kupoteza muda kujadili witu bila kufuata utaratibu.

Hilo Swali ulipaswa umuulize yeye huyo aliyeliuliza kwa maana na yeye alikukimbilia Pia huko Ikulu, tena yeye ndiye aliyekaa huko kwa Miaka Mingi kuliko wote waliomfwatia, hivyo kutuuliza sisi ambao hatujafika huko ni Ubinafsi na Ujinga!

 
Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University .

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida,

3. Kuvunja mkataba wa City water services bila kuogopa wa kuhofia chochote.

4. Kuzuia Uuzwaji wa shirika la Nyumba NHC,

5.Kuwaachia UVCCM kitega uchumi cha Jengo la maana

6. Alidhubutu kuchukua maamuzi magumu kwa masilai ya Tanzania na kulinda heshima ya CCM

7.Kuwafukuza wakurugenzi na wafanyakazi wa dhaifu serikali bila kuogopa chochote

8.Kuruhusu Bodaboda kuingia Nchini na kutengeneza Ajira za Kutosha kwa Vijana

9. Kuheshimu kanuni na taratibu zote za CCM

10. Kutekeleza ILANI ya chama chake na Kutimiza ahadi kwa asilimia 100% Jimboni kwake Monduli hivyo Nampendekeza Kuwa Rais wangu 2015.

Kila wizara au idara au taasisi aliyoiongoza EL ni mashutumu, ufisadi nk.
EL hajawahi kuwa rais lakini ana miliki majumba ulaya. Je,akiwa rais itakuwaje? Rais wa nchi iliyogundua hazina ya gesi na mafuta! Kumpa nchi EL itakuwa hatari.
 
Tatizo la kutumikia tumbo limekuondolea hata uwezo wa kufikiri,unadhani tanzania ya leo ni nani utakaye mwambia kua Lowasa ni msafi akakuelewa?,umetolea mfano wa city water,unajua kwa uamuzi wake serikali ilipata hasara kiasi gani? ule ulikua mradi ambao alichota fedha za kutosha wewe unaona alifanya la maana sana.Badilika fikiri kwa kutumia kichwa siyo unafikiri kwa kutumia tumbo.Lowasa ni fisadi mkubwa na kama akipitishwa na chama chake kugombea urais basi ni hakika upinzani utashinda kwa kishindo uchaguzi mkuu.
 
Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University .

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida,

3. Kuvunja mkataba wa City water services bila kuogopa wa kuhofia chochote.

4. Kuzuia Uuzwaji wa shirika la Nyumba NHC,

5.Kuwaachia UVCCM kitega uchumi cha Jengo la maana

6. Alidhubutu kuchukua maamuzi magumu kwa masilai ya Tanzania na kulinda heshima ya CCM

7.Kuwafukuza wakurugenzi na wafanyakazi wa dhaifu serikali bila kuogopa chochote

8.Kuruhusu Bodaboda kuingia Nchini na kutengeneza Ajira za Kutosha kwa Vijana

9. Kuheshimu kanuni na taratibu zote za CCM

10. Kutekeleza ILANI ya chama chake na Kutimiza ahadi kwa asilimia 100% Jimboni kwake Monduli hivyo Nampendekeza Kuwa Rais wangu 2015.
Hapo kwenye red hivi unaufahamu mkataba uliopo kati ya UVCCM na wabia wa kihindi,pamoja na wahindi kutuumia hati za kiwanja (cha UVCCM) husika kukopa hela za kujenga hayo majengo pacha UVCCM wanaambulia kiduchu naumiliki wa jengo unabaki na wahindi kizazi hadi kizazi.
Hilo lilikuwa dili la kifisadi lililowahusisha Lowasa Nchimbi na akina Makamba Nape aliposhutukuia dili nadhani unajua yaliyompata kama sikuingilia kati Kikwete sijui hatima yake ingekuwaje.
Na hili la Richmond namshangaa yeyote anayetaka kumnasua Lowasa na wizi huo ambao yeye alishindwa kujitetea si bungeni wala kwenye tume ya Shelukindo. Itakumbukwa yeye na wanatandao wenzake walidiriki kununua vyombo vya habari hili kufanikisha adhima yao kuingia Ikulu,lakini kwenye sakata la Richmond alijitahidi kutumia vyombo hivyohivyo bila mafanikio.
Lowasa atabaki kuwa fisadi hata ukimafishaje,huo ndio ukweli usiopingika.
 
Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University .

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida,

3. Kuvunja mkataba wa City water services bila kuogopa wa kuhofia chochote.

4. Kuzuia Uuzwaji wa shirika la Nyumba NHC,

5.Kuwaachia UVCCM kitega uchumi cha Jengo la maana

6. Alidhubutu kuchukua maamuzi magumu kwa masilai ya Tanzania na kulinda heshima ya CCM

7.Kuwafukuza wakurugenzi na wafanyakazi wa dhaifu serikali bila kuogopa chochote

8.Kuruhusu Bodaboda kuingia Nchini na kutengeneza Ajira za Kutosha kwa Vijana

9. Kuheshimu kanuni na taratibu zote za CCM

10. Kutekeleza ILANI ya chama chake na Kutimiza ahadi kwa asilimia 100% Jimboni kwake Monduli hivyo Nampendekeza Kuwa Rais wangu 2015.

Makamu Mwenyekiti wa vijana wa kile chama umekuja?Karibu sana My Darling ! ! !
 
Kuunyamazia ufisadi maana yake ni nini?
Pili hatupeleki wagonjwa ikulu ili baada ya miaka 3 tufanye Tena uchaguzi mwingine.Lowasa akikaa kunyanyuka mpaka asaidiwe kunyanyuka,anatetemeka mpaka anywe gongo ndo atleast,accentuation. Mzaha na watanzania baba.

mkuu labda utuambie hyo gongo mama yako huwa ndio anampelekea au manake huwez ukazumza mambo yote itakuwa hili jambo umepata kupitia mama yako
 
Naipenda Nchi yangu
Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi
kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule
2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo
University .

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga,
Tabora na Singida,

3. Kuvunja mkataba wa City water services bila kuogopa wa kuhofia
chochote.

4. Kuzuia Uuzwaji wa shirika la Nyumba NHC,

5.Kuwaachia UVCCM kitega uchumi cha Jengo la maana

6. Alidhubutu kuchukua maamuzi magumu kwa masilai ya Tanzania na kulinda
heshima ya CCM

7.Kuwafukuza wakurugenzi na wafanyakazi wa dhaifu serikali bila kuogopa
chochote

8.Kuruhusu Bodaboda kuingia Nchini na kutengeneza Ajira za Kutosha kwa
Vijana

9. Kuheshimu kanuni na taratibu zote za CCM

10. Kutekeleza ILANI ya chama chake na Kutimiza ahadi kwa asilimia 100%
Jimboni kwake Monduli hivyo Nampendekeza Kuwa Rais wangu 2015.

Kwani amepona?
 
Kwa sass Tanzania inahitsji rais atakae wafyeka maccm wenzake vinginevyo inakula kwetu
 
Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University .

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida,

3. Kuvunja mkataba wa City water services bila kuogopa wa kuhofia chochote.

4. Kuzuia Uuzwaji wa shirika la Nyumba NHC,

5.Kuwaachia UVCCM kitega uchumi cha Jengo la maana

6. Alidhubutu kuchukua maamuzi magumu kwa masilai ya Tanzania na kulinda heshima ya CCM

7.Kuwafukuza wakurugenzi na wafanyakazi wa dhaifu serikali bila kuogopa chochote

8.Kuruhusu Bodaboda kuingia Nchini na kutengeneza Ajira za Kutosha kwa Vijana

9. Kuheshimu kanuni na taratibu zote za CCM

10. Kutekeleza ILANI ya chama chake na Kutimiza ahadi kwa asilimia 100% Jimboni kwake Monduli hivyo Nampendekeza Kuwa Rais wangu 2015.

anafaa sana.
 
Tatizo la kutumikia tumbo limekuondolea hata uwezo wa kufikiri,unadhani tanzania ya leo ni nani utakaye mwambia kua Lowasa ni msafi akakuelewa?,umetolea mfano wa city water,unajua kwa uamuzi wake serikali ilipata hasara kiasi gani? ule ulikua mradi ambao alichota fedha za kutosha wewe unaona alifanya la maana sana.Badilika fikiri kwa kutumia kichwa siyo unafikiri kwa kutumia tumbo.Lowasa ni fisadi mkubwa na kama akipitishwa na chama chake kugombea urais basi ni hakika upinzani utashinda kwa kishindo uchaguzi mkuu.

unatak nani awe raisi wako
 
Hawa nao walewale mnarudi kulekule kwenye mateso Chadema mpango mzima Silaa...
 
Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University .

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida,

3. Kuvunja mkataba wa City water services bila kuogopa wa kuhofia chochote.

4. Kuzuia Uuzwaji wa shirika la Nyumba NHC,

5.Kuwaachia UVCCM kitega uchumi cha Jengo la maana

6. Alidhubutu kuchukua maamuzi magumu kwa masilai ya Tanzania na kulinda heshima ya CCM

7.Kuwafukuza wakurugenzi na wafanyakazi wa dhaifu serikali bila kuogopa chochote

8.Kuruhusu Bodaboda kuingia Nchini na kutengeneza Ajira za Kutosha kwa Vijana

9. Kuheshimu kanuni na taratibu zote za CCM

10. Kutekeleza ILANI ya chama chake na Kutimiza ahadi kwa asilimia 100% Jimboni kwake Monduli hivyo Nampendekeza Kuwa Rais wangu 2015.
Umesahau no.11
Ndiye alieuza shamba la malonje lililoko Mkoa wa Rukwa Kwa nabii Mwingira wa efata na Leo linamgogoro mkubwa sana Kwa alilazimisha yeye Kwa maamuzi magumu kuwa lazima auziwe
 
Kambi yote ya Edward luwasa hakuna inachofikiria isipokuwa Kwamba luwasa akishinda na kuwa Raisi basi umasikini ndiyo by bye kwani nimeisoma kambi yote inawaza kuwa tukishinda tu basi tumeukata.lakini kubwa zaidi ni pale utakapo gundulika Kama huwaungi mkono basi utachukiwa na kambi nzima na kukuona hufai na msaliti. Je huyu mtu akishinda si itakuwa taabu Kwa watu ambao hawakumuunga Mkono? Kwani watu wake wote pamoja na yeye mwenyewe bwana luwasa ni mtu wa visasi ni mtu ambae anawaza kulipiza kisasi Kwa mtu yoyote Ambae hakumuunga mkono.
 
Back
Top Bottom