Ukweli Kuhusu Edward Lowassa na Urais 2015

Ukweli Kuhusu Edward Lowassa na Urais 2015

Mlachake hebu fafanua point namba1 ya huyo fisadi.

Remote here we go. Tulikua katika critical need ya umeme, mtendaji mkuu wa serikali alikua waziri mkuu. Na lile tatizo moja kwa moja lilimhusu mheshimiwa Lowasa. So Lowasa had to make the ends meet tupate umeme....... kabla sijaenfelea naomba kosa la lowasa kwwnye kashfa ya richmond
 
Last edited by a moderator:
Mods please. Hili jukwaa ni la great thinkers. Hawa team Lowassa sijui team membe ni class seven drop outs wanaotakiwa kuanzisha blogs au kuchati Facebook. Hizi threads zao zifuteni humu
 
Remote here we go. Tulikua katika critical need ya umeme, mtendaji mkuu wa serikali alikua waziri mkuu. Na lile tatizo moja kwa moja lilimhusu mheshimiwa Lowasa. So Lowasa had to make the ends meet tupate umeme....... kabla sijaenfelea naomba kosa la lowasa kwwnye kashfa ya richmond

hujui kitu katika hilo... na wala hujui mwakyembe aliyoyaficha subiri muda ufike.
 
Lowassa sio mwizi wamiliki wa Richmond wanajulikana na pia kampuni ya Richmond,ndo ile ya Dowans na sasa ni Symbion ambayo ilizinduliwa obama Kwa mbwembwe nyingi sana je Ufisadi wa Lowassa upo wapi hapo

Kwa hiyo yeye Lowasa alifanya nini alipoona nchi inaliwa na richmond? Fikiri tena
 
Mods please. Hili jukwaa ni la great thinkers. Hawa team Lowassa sijui team membe ni class seven drop outs wanaotakiwa kuanzisha blogs au kuchati Facebook. Hizi threads zao zifuteni humu

Mpinga shetani, bora umesema wewe. Lowasa hata Shetan anamuogopa kwa wizi na dhuruma.
 
Katuni-14Jan2015.jpg
 
Mwambien aache viroba,hatuwez kua na Rais mlevi hata akiwa anaongea midomo inachezacheza
 
J.K.Nyerere alisema,IKULU KUNA NINI?
kwa nini hizi sifa zisijitangaze zenyewe hadi kutumia nguvu nyingi sana.

Kila Kiongozi akisema ajitangaze aliyofanya kwa madaraka aliyopewa, Basi Magufuli angeonekana angalau amegusa maisha ya watu kwa kiasi fulani. Lakini yuko bize na ujenzi wa taifa. Huyu mkuu sijawahi kumsikia akitetea maslahi ya taifa bungeni tangu alipojiuzu. Kama taratibu za chama ziko wazi, sioni haja ya kuwa na wasiwasi kama mtu anafaa atapewa, kama hafai hata kama akipewa nchi kwa nguvu itamshinda.

Huu ni muda wa kijenga taifa na sio kutangaziana sifa za viongozi ambazo ni jitihada za watu wengi lakin zote apewe mtu mmoja. TAifa hili Bado liko nyuma sana kuanza kupoteza muda kujadili witu bila kufuata utaratibu.

Kwa kuwa tatizo la umeme linazidi kushamili na wizi kwenye wizara hiyo unatamalaki inawezekana muhusika mkuu wa ufisadi hajafahamika na bado yupo kwenye systemy hivyo inawezekana kabisa kama Lowasa akipewa nafasi afunguke nibalaaa tatizo hawezi kufunguka. hawa wazee sijui vp wanakufa na siri zao bwana. Alisema Mwakyembe kuwa 'mengine tumeyaacha......................' wakwanini yaliachwa sijui
 
Back
Top Bottom