Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Mdini mkubwa wewe na sisi tukianza kiweka nafac za uteuz wa magufuli utakaa hapa bwege ww
Hawezi kaa,sisi tunahistoria ya udini,ubinafsi na ukandamizaji wa waislamu nchii tangu utawala wa kwanza,Watu kama akina dr Dau wanapita walipopita wanaojiita wenye nchi.
 
Huyo huyo rafki yake Mchechu wa NHC anayelipwa milioni 35 kwa mwezi
 
Na ndo mana tunahoji kwa sababu inaonekana waliajiriwa kwa kigezo cha uislamu na sio kwa weledi wa taaluma yao ki elimu.
 
Mdini mkubwa wewe na sisi tukianza kiweka nafac za uteuz wa magufuli utakaa hapa bwege ww
Hawezi kaa,sisi tunahistoria ya udini,ubinafsi na ukandamizaji wa nchi hii tangu utawala wa kwanza,Watu kama akina dr Dau wanapita walipopita wanaojiita wenye nchi.
 
Ufisadi wa kuzungumzwa pasi na ushahid?

Thats the problem of waimba kwaya.

Kama unasema kuna ufisadi na ubadhirifu then uweke na ushahid

Unaongeaje maneno matupu kama uko kwa bwana wako gwajima.
Mkuu unajua Udini unakufanya uonekane HAMNAZO?...
 
Tunashukuru Mh Magufuli siyo muislam

Maana kwa kasi hii na idad kubwa ya majipu na wezi waliotumbuliwa zaid ya asilimia 90 ni hawa hawa wainjilist..

So ingekuwa yey ni muislam lazima angesema kuwa Ubaguz wa kidini..

I am telling you waliofikisha nchi hii hapa kwa umaskin ni bawa
Na ndo mana tunahoji kwa sababu inaonekana waliajiriwa kwa kigezo cha uislamu na sio kwa weledi wa taaluma yao ki elimu.
 
Narudia kusema hizi roho mbaya za wakristo ndizo zimeifanya hata li lao libaki Africa tu! mtu anaumia kwa chuki kabisa how comes waislam wasihamie ulaya!!!! nadhani funzo kuu kanisani ni kumchukia muislamu popote pale alipo
 
Na ndo mana tunahoji kwa sababu inaonekana waliajiriwa kwa kigezo cha uislamu na sio kwa weledi wa taaluma yao ki elimu.

Kama wameajiriwa kwa kigezo cha uislam basi poa tuh.

Mbona huko kwingine nanyinyi mmeajiriwa kwa kigezo cha ukristo?

Na hakuna cha maana mnachofanya zaid zaid ya kuwa majipu tuh?

Hamna mnachofanya zaid zaid ya wizi na ufisadi.

Au kuna la maana mnalolijua nyinyi wazee wa escrow?
 
Ndio maana Presidaa kaliona hili na kulifanyia kazi
 
hayo yameshasemwa sana hakuna jipya hapo, na dr dau keshaondolewa nssf, ataletwa mwingine kutoka kanisani mambo yote yataenda vizuri. save your breath mkuu.


Kwa mtazamo wangu naona Africa kuendelea ni tatizo saaana sababu watu hatupendi kutazama na tumefundishwa kuishi kwa kuwa na big ego...

Binafsi dini kwangu ni utamaduni,

Sababu unaweza kuziona don't get attached son..

Kabla ya wakoloni kuja wa Africa tulikuwa tunaishi kwa dini zipi?

Waarabu walienda maeneo kadhaa waka introduce Islamic na wazungu walienda maeneo kadhaa waka introduce Christianity

Sasa ukimkuta mtu ana dini saaana sema u dini mtazame vizuri huyo kiumbe lazima uwezo wake wa kufanya kazi haupo even...

Mie simlaumu mtu bali ni mfumo mbovu ndiyo umetupatia matokea hayo leo.

Udini, Ukabila watu wana practise chini chini...

Lakini I bet, end justify the means, jifiche ulipo jificha the end will identify you / us!
 
Majipu mengi anayotumbua Mh Rais ni waimba kwaya

Without Doubt hawa jamaa ndiyo wameifikisha nchi haapa tulipo kwa kuendekeza wiz na ufisadi
 
Ni vigumu kuthibitisha kama wakristo wengi wanaajiriwa kwa kigezo cha dini maana wengi wana weledi wa elimu unaotakiwa tofauti na majority ya waislam wanaoajiriwa. Kubali tu kwamba kwenye elimu mpo chini na ndo muanzie hapo kujirekebisha. Maeneo mengi yenye waislam bado mwamko wa elimu mdogo... na msipo jirekebisha mtalia mpaka mpaka mwisho wa dunia.
 
Narudia kusema hizi roho mbaya za wakristo ndizo zimeifanya hata li lao libaki Africa tu! mtu anaumia kwa chuki kabisa how comes waislam wasihamie ulaya!!!! nadhani funzo kuu kanisani ni kumchukia muislamu popote pale alipo


Justify. .

"Common sense.."

You believe in God?


Cast away the egocentric try figure out and agree that in Tanzania still are some people operates on tribes amd religion bases which is redicular son....

Don't get ur guts disturbed but focus on making better life and better you.

This ain't good for both of us it kills our self esteem son

Knowthyself ,son!
 
Acha kuleta stori za abunuasi hapa.
Dini ya utamaduni umeianzisha wewe?
Unafahamu maana ya Dini kwanza?

Zipo zile za mababu wa zamani za kuzunguka Moto uchi. Au na wewe ni mmoja wao.
 
 
lakini kumbuka majipu mengi yamelelewa na yule mwislam mwenzenu wa Msoga....... Halafu ninyi watu wa ajabu sana kila siku mna lalamika serikali inawaonea akati JK mwisilam na alitawala miaka 10.. Hivi hamuoni nyinyi waisilam wenyewe ndo chanzo cha matatizo yenu? Nyinyi msijirekebishe endeleeni kupiga majungu wakristo mkidhani kuna hakimu atawaamulia.. "nyetu na roho zenu za korosho, sisi tunasonga tu"
 
mkuu kwenye hili hakuna umbeya,sababu mtoa mada nimtumishi wa nssf anayajua mengi na mengi ameyashuhudia.,,,,inshu ya kuajili watu kwa muktadha wa dini ni janga kubwa kuliko hata ubadhirifu.

Kama kweli huyo mtoa mada ni mtumish wa Nssf nasi atakuwa ni mdeki choo

Kwa sababu kwa akili ya kawaida kabisa hata watu ambao hatupo huko tukiingia tuh kwenye website ya shirika tunajua kuwa kipindi .Dr Dau anaongia assets thaman ilikua kama 170billions na had anaondoka assets ni over 3trillion.. atasemaje shirika limedrop.

Kipind Dr Dau anaingia data zinaonesha officer alikua analipwa almost kama lak 5 na 20elfu hiv..hiv sasa ni zaid ya 1M..utasemaje kwamba shirika limedrop...au ni chiz huyo?

Dr Dau kipind anaingia Nssf nan alikua anaijua?

Lakn hiv sasa Nssf ni leading pension fund siyo Tuh Tanzania bali ni East and Central Africa..na vision yao ni kwamba hadi 2020. Ni kuwa leading pension fund Africa..!huyo anaejiita ni mfanya kaz wa Nssf anashindwaje kujua hata mission and vision za muajiri wake?

Kama siyo chuki ni kitu gan.
 
Ni mfuko ambao serikali ndio kimbilio lake kuu kwenda kukopa na hautetereki sasa waambie wakueleze ilipo PSPF ambapo karibia watumishi wote wa umma nchi hii PESA zao zinakatwa huko....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…