Ukweli kuhusu digrii ya Mwijaku

Ukweli kuhusu digrii ya Mwijaku

Nasema n pia narudia kusema CCM ndio chaka la wezi, majambazi n mafisadi. Hasa Lumumba.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Burton Mwemba anajulikana zaidi kama Mwijaku.

Mara kadhaa anasikika akibrag ana degree ya mzumbe university na university of Dar es Salaam.

Sijui kuhusu UDSM ila kuhusu mzumbe. Mwijaku hana degree ya mzumbe japo alisoma mzumbe miaka mitatu.

Nini kilitokea? Je alifeli?

Hapana Mwijaku akufeli ila alifukuzwa chuo kutokana na fraud.

Mwijaku wakati mwanafunzi alikuwa na mchezo wa kuwafutia supp na disco wanafunzi wenzie.
Alikuwa anaweza kufoji documents mpaka za mkuu wa chuo za rufaa au maelekezo fulani na kuwanasua wenzie wasipate disco.

Ila za mwizi ni arobaini alipokuwa mwaka wa mwisho alikamatwa na watu wa admission baada ya mwanafunzi fulani kupeleka barua ya mkuu wa chuo ikiwa na baaadhi ya details hazieleweki baada ya kumbana ndio wakaushtukia huo mchezo na wakaweka mtego na kumkamata Mwijaku.

Aliwekwa ndani zaidi ya miezi mitatu na akafukuzwa chuo.

Huo ndio ukweli kuhusu digrii ya Mwijaku ya mzumbe. Hana degree ya Mzumbe japo darasani alikuwa yupo vizuri.

Asanteni kwa kunisikiliza.
Chai
 
Burton Mwemba anajulikana zaidi kama Mwijaku.

Mara kadhaa anasikika akibrag ana degree ya mzumbe university na university of Dar es Salaam.

Sijui kuhusu UDSM ila kuhusu mzumbe. Mwijaku hana degree ya mzumbe japo alisoma mzumbe miaka mitatu.

Nini kilitokea? Je alifeli?

Hapana Mwijaku akufeli ila alifukuzwa chuo kutokana na fraud.

Mwijaku wakati mwanafunzi alikuwa na mchezo wa kuwafutia supp na disco wanafunzi wenzie.
Alikuwa anaweza kufoji documents mpaka za mkuu wa chuo za rufaa au maelekezo fulani na kuwanasua wenzie wasipate disco.

Ila za mwizi ni arobaini alipokuwa mwaka wa mwisho alikamatwa na watu wa admission baada ya mwanafunzi fulani kupeleka barua ya mkuu wa chuo ikiwa na baaadhi ya details hazieleweki baada ya kumbana ndio wakaushtukia huo mchezo na wakaweka mtego na kumkamata Mwijaku.

Aliwekwa ndani zaidi ya miezi mitatu na akafukuzwa chuo.

Huo ndio ukweli kuhusu digrii ya Mwijaku ya mzumbe. Hana degree ya Mzumbe japo darasani alikuwa yupo vizuri.

Asanteni kwa kunisikiliza.
Kasoma SUA huyo
 
Mwijaku ana degree ya Arts toka UDSM lower second class. Yeye mwenyewe alipost cheti chake mtandaoni. Kwa vyovyote vile kwenye haya mapambano ya maisha siwezi kumdharau mtu ambaye kapita njia zake kiujanjajanja hadi kuweza kupeana mkono na Rais wa jamhuri huku akiwa na connections nzito. Mwijaku, Babalevo na Dotto sio matajiri ila wana nguvu kubwa kiushawishi kuliko matajiri wengi wa nchi hii. Kimsingi POWER wanayo.
Nini siri ya utajiri wake
 
Back
Top Bottom