Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,150
Mkuu wewe ni mtaalamu wa civil engineering?Tatizo letu wengi hatutaki kusoma. Kwa faida yako njia 6 za lami zinahitaji mita 19.5 tu. Soma mada upate ufahamu
Mkuu wewe ni mtaalamu wa civil engineering?Tatizo letu wengi hatutaki kusoma. Kwa faida yako njia 6 za lami zinahitaji mita 19.5 tu. Soma mada upate ufahamu
Wanaposhinda chadema mahakamani basi mahakama inaheshimika. Sio kinyume na hapo.Hivi mahakama inaheshimika Tanzanania hasa na wanasiasa wa CCM?
Without law and order we are nothing but a group of savages. Kuna vitu jpm anavurunda sana mpaka inashangaza kama ana hekima ya kutosha kushika ile ofisi.
WEWE UNAMDHARAU MENZAKO YEYE ANA AKILI ZAKE. HIVI KAMA KILA NJIA MOJA UPNA NI MITA 3 SASA BARABARA YA NJIA 6 INAHITAJI UPANA GANI? AU UMESHAWAHI ONA GARI PANA ZAIDI YA MITA 3? KAMA UNA LORI PIMA UPANA WAKE UTAELEWAOMG.. Mungu akusaidie, i repeat again where did you copy & paste all these?
6 lanes unahitaji 19 meters? Uko duniani na una macho na ubongo? Uuuuhh.. Ur gone, ur lifeless, nyie ndio wasomi? Hii copying SABABU YA YEYE KUANDIKA HIVO& pasting ni hatari sana..
I won't help you, the world will help you..!!
Bro, ukianza kudadavua haki usiegemee upande.Tusiingize masihara kwenye maisha ya watu unaweza kutupatia ushahidi ya waliolipwa fidia kama ambavyo nimeweka Mimi hapo juu?
Sihitaji kuwa Na utaalamu huo. Nimekuwekea kifungu cha sheria kuhusu upana wa lane moja ya barabara ya lami inavyotakiwa kua. Kama tunajenga 6 lanes it is simple multiplication. Mbona mnahangaika?Mkuu wewe ni mtaalamu wa civil engineering?
Hongera kwa kujitahidi kuitetea serikali kwa hoja za jumla. Ili tuelimishane mada hii ilihitaji documentary evidence. Laiti ungedownload hukumu nilizo attach Na kuzisoma usingeandika hayo uliyoandika.Bro, ukianza kudadavua haki usiegemee upande.
Suala la bomoabomoa linachukiza sana, hasa unapoangalia utekelezaji wake.
Ulivyoichambua sheria yawezekana kabisa serikal ina makosa yake katika zoezi hili.
Je sisi raia ni weupe kabisa, nikimaanisha kuwa hakuna mwananchi hata mmoja wa kunyooshewa kidole?
Nijuavyo mimi kuna viongozi wa mitaa waliohusika sana kupotosha sheria za umiliki wa ardhi kwa kugawa maeneo ovyo na baadaye, "aridhi" kuja kuhalalisha makazi kwa kutoa hati miliki.
Pili, kuna watu baada ya kugundua wanaishi kijinai eneo husika, harakaharaka waliyauza maeneo ama makazi yao "kihalali"na kuondoka wakiacha eneo linafukuta kwa mgogoro.
Tatu, kuna wamiliki wa mwanzo walitangaziwa kuwa makazi yao yapo ndani ya hifadhi ya barabara na wakalipwa wakitakiwa kuhama. Lakini kwa udhaifu wa utekelezaji wa sheria, wananchi waliofidiwa waliachwa wakiendelea kuishi maeneo hayo hadi wengine wakayauza ki rushwa kwa wamiliki wengine.
Hayo machache niliyoyaeleza yamo kwenye "mduara" wa kadhia hii.
Kama nilivyokwisha eleza, maelezo yako yameegemea upande mmoja tu wa maslahi yako binafsi, yaani ulipoguswa wewe.
Hiyo ni dosari.
Halafu kwa nini ninyi wajuvi wa sheria, huwa mna-comment pale tu maslahi yenu binafsi yanapokuwa yameguswa na si maslahi ya umma mpana?
Kwa mfano, hivi suala la fukuzafukuza ya bila malipo kwa watumishi wa vyeti bandia, ulisimama ukatoa ushauri wowote wa kisheria unaopaswa kufuatwa na wale wote waliodhulumiwa haki zao katika muktadha wa vyeti?
Watu wanafukuzwa bila malipo na hawajui waanzie wapi huku wanasheria mpo tu kimya!
Dhuluma ngapi serikali imefanya, lakini wanasheria kimya! Kwamba haiwahusu.
Sasa tingatinga limekuja kuporomosha majumba yenu ndiyo mnaanza kukumbuka mlipoweka kalamu zenu?
Tumieni taaluma yenu kwa manufaa ya raia wote ili kuokoa taifa lisitumbukie kwenye mgogoro wa kisheria
Na utashangaa bado kuna wananchi wanaotetea huu uhalifuWithout law and order we are nothing but a group of savages. Kuna vitu jpm anavurunda sana mpaka inashangaza kama ana hekima ya kutosha kushika ile ofisi.
Walipwe sasaSasa bomoa si tayari, zoezi liendelee tu...maana kuzuia tena haina maana, watu washabomolewa tayari na wengine walibomoa wenyewe kutii amri...wengine pia salishafidiwa...wengine bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako inashida.Km ulilipwa alafu ukaendelea kuishi kwa ubishi lawama kwa nani wasio lipwa ndio waendelee kutafuta akiyao kwakuwa awakupata jasho lao wengine wanalipwa kwa makusudi wanauza alafu yuleanaekuja ndio yanamkuta majanga muda mwingine tusiweke lawama kwaserekali pekee wakati kunawatu wanashirikiana na serikali za mitaa kurubuni watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sababu ya kutumia fedha za malipa kodi kulipa. Eneo LA hifadhi halali ya barabara LA mita 60, 30 kila upande linaweza kujengwa njia za lami 18. Hats marekani, Japan n.k hakuna barabara kama hiyo. Manispaa ya ubungo wanakomolewa kwa kuchagua mbunge na madiwani wa chadema
Tatizo umekurupuka kuchangia haukusoma mada yangu. Nimesema sheria ya barabara Na 13 ya 2007 Na Kanuni zake za 2009 kwa kipande hiki kutika Ubungi hadi Tamco Kibaha inatamka hifadhi ya barabara ni mita 60 kila upande, kwa maana ya mita 120 kama bomoa bomoa ilivyofanyika Maili Moja Kibaha kwa sababu vingozi wa kuchaguAcha kusema uongo, kuna barabara za lane 12 yaani sita za kwenda na sita kurudi zinaitwa interstate highways! Nimeziona ila nilishangaa mpaka ikabidi nipate ufafanuzu kwa wenyeji, tembea uone! Hapo ilikuwa wapate compensation(fidia) kabla ya ubomoaji.
Lete ushahidi wa fidia mkuuBro, ukianza kudadavua haki usiegemee upande.
Suala la bomoabomoa linachukiza sana, hasa unapoangalia utekelezaji wake.
Ulivyoichambua sheria yawezekana kabisa serikal ina makosa yake katika zoezi hili.
Je sisi raia ni weupe kabisa, nikimaanisha kuwa hakuna mwananchi hata mmoja wa kunyooshewa kidole?
Nijuavyo mimi kuna viongozi wa mitaa waliohusika sana kupotosha sheria za umiliki wa ardhi kwa kugawa maeneo ovyo na baadaye, "aridhi" kuja kuhalalisha makazi kwa kutoa hati miliki.
Pili, kuna watu baada ya kugundua wanaishi kijinai eneo husika, harakaharaka waliyauza maeneo ama makazi yao "kihalali"na kuondoka wakiacha eneo linafukuta kwa mgogoro.
Tatu, kuna wamiliki wa mwanzo walitangaziwa kuwa makazi yao yapo ndani ya hifadhi ya barabara na wakalipwa wakitakiwa kuhama. Lakini kwa udhaifu wa utekelezaji wa sheria, wananchi waliofidiwa waliachwa wakiendelea kuishi maeneo hayo hadi wengine wakayauza ki rushwa kwa wamiliki wengine.
Hayo machache niliyoyaeleza yamo kwenye "mduara" wa kadhia hii.
Kama nilivyokwisha eleza, maelezo yako yameegemea upande mmoja tu wa maslahi yako binafsi, yaani ulipoguswa wewe.
Hiyo ni dosari.
Halafu kwa nini ninyi wajuvi wa sheria, huwa mna-comment pale tu maslahi yenu binafsi yanapokuwa yameguswa na si maslahi ya umma mpana?
Kwa mfano, hivi suala la fukuzafukuza ya bila malipo kwa watumishi wa vyeti bandia, ulisimama ukatoa ushauri wowote wa kisheria unaopaswa kufuatwa na wale wote waliodhulumiwa haki zao katika muktadha wa vyeti?
Watu wanafukuzwa bila malipo na hawajui waanzie wapi huku wanasheria mpo tu kimya!
Dhuluma ngapi serikali imefanya, lakini wanasheria kimya! Kwamba haiwahusu.
Sasa tingatinga limekuja kuporomosha majumba yenu ndiyo mnaanza kukumbuka mlipoweka kalamu zenu?
Tumieni taaluma yenu kwa manufaa ya raia wote ili kuokoa taifa lisitumbukie kwenye mgogoro wa kisheria
Je, waliokumbwa na haya matukio ya kutisha ya kuvunjiwa nyumba zao watalipwa fidia wanazostahili!?
Je, waliohusika na huu uvunjaji wa sheria za nchi watachukuliws hatua stahiki ikiwemo kufukuzwa kazi na kupandishwa kizimbani!?
Wote waliotoa matinga tinga ya uvunjaji walioamrisha polisi na ffu kusimamia hilo tukio haramu.
Inakuwaje Mkuu wa Mkoa, Waziri wa ardhi, wa mambo ya ndani na huyo wa Ikulu wasijue uvunjwaji wa sheria za nchi ambao kila siku ulikuwa unaandikwa katika magazeti na kutangazwa na TV na Radio katika taarifa za habari zao!?
Kwa kweli mkuu wetu anafanya mambo ya aibu sana kwa mtu mwenye akili timamu!! Hii ni wazi kabisa analipiza kisasi cha kushindwa mahakamani na hao wananchi kipindi alipokuwa waziri wa ujenzi. Sasa kwa vile ameshika muhimili ambao mzizi wake umejichimbia chini zaidi ameamua kuwakomoa!! Rais wa awamu ya 6 ajiandae kulipa fidia kwa haya mambo ya aibu yanayofanywa na awamu hii ya 5!! Lawama hizi zimfikie Kikwete, ndiye aliyetufikisha hapa tulipo sasa hivi!!Si kila mtu anafaa kuwa kiongozi!!.
Tujiandae tena kulipa watu fidia.