Ukweli kuhusu Blood Group 'O'

Ukweli kuhusu Blood Group 'O'

Case closed in lemutuz voice
IMG_20221008_211721.jpg
 
Inawezekana kupata maambukuzi. Ila sio kirahisi rahisi. Kiukwel mie nishawahi kuteleza kwa waathirika kadhaa tena mmoja nili-sex nae zaidi ya mara 100 tena peku.

Lakini alhamdulillah nipo salama, sasa sijui ni sababu ya O negative au kuna sababu nyingine.

Namimi nitoe ushuhuda kwa ilo, nilishawahi kutembea na wanawake wenye ukimwi tena wa mwisho nakumbuka kwenye ujana wangu alikua ni kahaba kabisa, kondom ilipasuka na kahaba akanambia nivae nyingine ila nikajifanya kama sielewi maana tukaendelea wala hakunikatalia na nakumbuka nilipata mchubuko mkubwa wakuonekana ata nikiwa naoga sababu ya lile tendo najua nayeye alichubuka sana tuu, nilitoka pale nimejipa asilimia zote kua tayari ninao maana malaya kukubali uendelee bila kinga hua ni ngum sana nikawa nawaza mengi kwanini amekubali?!! Inshoti nilitubu ile dhambi na ndo nilitoka pale nimeapa kutorudia na kweli sijarudia na sinto rudia mpaka nakufa.

Baada ya miezi siku niko zahanati ya maeneo fulani nikamwona uyo dada nilo lala nae wa mwisho anaongea na mtu anayehudumia watu wa HIV+ kwa mbali, badae nikamfata jamaa sababu tulikua tunaelewana sana jamaa akanambia kilakitu baada ya kumuliza na akacheka akanambia mbona uyo dada yupo kwenye grid na hata hua hajifichi nikachoka mwili na akili.

Badae nikaumwa sana nikaja kupima nikakuta niko negative, sasa nikijumlisha na wengine nilokuja kujua walizaliwa nao baada ya kulala nao na wengine wengi tuu ambao 1000% wanao nikajiuliza ni mungu ndo ananionesha kua anaionya au inakuaje siupati na ninalala badae nikaja kusikia izi story sehem kua watu wa group0 sijui +or- wana hatari kidog zaidi kupata uo ugojwa naleo nimekuta huu uzi apa wadau wenye elimu za afya watusaidie zaidi hii imekaaje hata mi sijawahi kupata jibu?
 
Hakuna ukweli wowote kuhusu hayo, hakuna cha resistant wala nini kinachomfanya mtu kuwa resistant wa virusi vya ukimwi ni genetic anomality inayotokea pale ambapo gene code "CCR5" inapopata mutation ambayo kwa asilimia kubwa itaathiri chembe chembe zako za damu kutokuwa na ukuta (cell membrane na si cell wall) wenye upenyo( soma zaidi kuhusu fluid mosaic model utaelewa namaanisha nini) wa kuruhusu kirusi kujishikiza wachilia mbali kuingia.

Hivyo hawa watu hata uwaingize damu ya mwathirika yaani hapati ukimwi wala nini na asilimia 1% tu duniani ndo wana hiyo mutation wengi wao ni wanapatikana nchi za ulaya na hawa wametokana na kizazi cha wale watu waliopona ugonjwa mbaya wa tauni walioupa jina (the black death fuatia zaidi ni histiria nzuri) ambao kirusi chake kinafanya kazi sawa na HIV hivyo wakapata bahati ya kurithi hiyo mutation .

Sababu nyengine ni exposure ya kirusi ya mara kwa mara , hapo nairobi kenya kuna wataalam walifanya utafiti mdogo uliohusisha machangudoa na waliwapima ila wengi walikutwa hawana ukimwi licha ya kufanya ngono zembe kwa muda mrefu .

Basi wakawachukua baadhi yao wakawawezesha kama part ya experiment hivyo kupelekea hao changidoa kujiweka mbali na kazi yao , baada ya muda mrefu wakaja kuwapima ndipo walipogundua hao waliowawezesha wamepata maambukizi na wale walioendelea ka kazi yao hawakuwa na maambukizi na hawa ambao waliendelea na kazi yao wakakutwa na extra layer ya protein kwenye seli hai zao .

Wakafikia conclusion kwamba hata exposure ya aina mbali mbali ya virusi vya HIV inapelekea mwili ku addapt na kutafuta njia mbadala ya kujikinga .

Kingine ni kuna watu baadhi miili yao inakuwa na uwezo wa kulimit kiwango cha virusi ndani ya miili yao yaani unakuta anapata maambukizi lakini viral load per cell inakuwa ndogo mno na virusi huwa haviendelei kujizalisha wala kutafuta njia ya kutoka ndani ya cell na kufanya maambukizi zaidi.

Hawa watu wanaitwa HIV controllers na hii haitegemeani na group la damu .
Hawa watu wanaweza kuambukiza wengine ila wao hutokaa usikie wanapata magonjwa mengine yanayotokea baada ya kupata ukimwi kamwe na unaweza ukawapima waka test negative.

Nijuavyi ni kwamba kuna magojwa ya kawaida yasiyoambukiza ambayo kila kundi la damu linaathiriwa zaidi na huo ugojwa mfano group AB magonjwa ya mfumo wa moyo, B kisukari na O ni vidonda vya tumbo.

Duuh ahsante kwa elimu mkuu its so complicated.
 
hata mimi nilishapitiz maeneo ya hatari ila nikienda kupima naambiwa nakupa ni negative
JPEG_20221008_215652_2378868725044089393.jpg
 
O+ ipo vizuri sana ila O- best of all blood groups according to rhesus factor.
O-ve Ni best kwa sababu haina antigens watakaofanya ma group mengine ya damu kuzalisha antibodies hivyo ni blood group isiyokataliwa na ma group mengine (isipokuwa golden blood) ya damu ndiyo maana wakaitwa UNIVERSAL DONORS.

Blood group AB+ ni best na kinyume cha O-ve kwa maana yeye hazalishi antibodies kutokana na uwepo wa groups nyengine za damu hivyo kupelekea kupokea damu kutoka kwa magroup yote ya damu ndiyo maana akaitwa UNIVERSAL RECIPIENT.

The best blood ni GOLDEN BLOOD ambayo ina rhesus factor null (RH NULL) Na watu wasiozidi 50 dunia nzima ndo wana hiyo damu na wanaishi nchi mbali mbali hii ina maana kama mmoja wao akahitajia kuongezwa damu itabidi wamtafute na kumsafirisha mmoja wa hao watu maana hata wakiwekewa 0 -ve bado italeta immune response mbaya mno itakayopelekea kifo.
 
Hey!

Wataalamu wa masuala ya Cardiac System naomba ufafanuzi hapa;

Inasemekana kuwa mtu mwenye blood group O anakuwa resistant dhidi ya maambukizi mbalimbali ikiwemo HIV.

Inasemekana pia kuwa mtu mwenye blood group O hawezi kupata maambukizi toka kwa mtu asiye na blood group O, yani ili aambukizwe inabidi muambukizaji awe ni group O mwenzake tu. Naomba kujua ukweli kuhusu hili.
Group type haina uhusiano wowote na maambukizi ya magonjwa.
 
Hey!

Wataalamu wa masuala ya Cardiac System naomba ufafanuzi hapa;

Inasemekana kuwa mtu mwenye blood group O anakuwa resistant dhidi ya maambukizi mbalimbali ikiwemo HIV.

Inasemekana pia kuwa mtu mwenye blood group O hawezi kupata maambukizi toka kwa mtu asiye na blood group O, yani ili aambukizwe inabidi muambukizaji awe ni group O mwenzake tu. Naomba kujua ukweli kuhusu hili.

Mimi ni O+ ambacho mpaka sasa nina uhakika nacho ni kwamba O anang’atwa sana na mbu.

Yaani mkikaa nje usiku mtu mwenye O na mwingine labda A, B au AB basi wewe mwenye O lazima cha moto ukione wakati huo unapiga piga mbu mwezako hana habari
 
Mimi ni O+ ambacho mpaka sasa nina uhakika nacho ni kwamba O anang’atwa sana na mbu.

Yaani mkikaa nje usiku mtu mwenye O na mwingine labda A, B au AB basi wewe mwenye O lazima cha moto ukione wakati huo unapiga piga mbu mwezako hana habari
Duuh! Kwahiyo sisi wenye O damu yetu itakuwa ni tamu ndio maana mbu wanaipenda
 
Hakuna ukweli wowote kuhusu hayo, hakuna cha resistant wala nini kinachomfanya mtu kuwa resistant wa virusi vya ukimwi ni genetic anomality inayotokea pale ambapo gene code "CCR5" inapopata mutation ambayo kwa asilimia kubwa itaathiri chembe chembe zako za damu kutokuwa na ukuta (cell membrane na si cell wall) wenye upenyo( soma zaidi kuhusu fluid mosaic model utaelewa namaanisha nini) wa kuruhusu kirusi kujishikiza wachilia mbali kuingia.

Hivyo hawa watu hata uwaingize damu ya mwathirika yaani hapati ukimwi wala nini na asilimia 1% tu duniani ndo wana hiyo mutation wengi wao ni wanapatikana nchi za ulaya na hawa wametokana na kizazi cha wale watu waliopona ugonjwa mbaya wa tauni walioupa jina (the black death fuatia zaidi ni histiria nzuri) ambao kirusi chake kinafanya kazi sawa na HIV hivyo wakapata bahati ya kurithi hiyo mutation .

Sababu nyengine ni exposure ya kirusi ya mara kwa mara , hapo nairobi kenya kuna wataalam walifanya utafiti mdogo uliohusisha machangudoa na waliwapima ila wengi walikutwa hawana ukimwi licha ya kufanya ngono zembe kwa muda mrefu .

Basi wakawachukua baadhi yao wakawawezesha kama part ya experiment hivyo kupelekea hao changidoa kujiweka mbali na kazi yao , baada ya muda mrefu wakaja kuwapima ndipo walipogundua hao waliowawezesha wamepata maambukizi na wale walioendelea ka kazi yao hawakuwa na maambukizi na hawa ambao waliendelea na kazi yao wakakutwa na extra layer ya protein kwenye seli hai zao .

Wakafikia conclusion kwamba hata exposure ya aina mbali mbali ya virusi vya HIV inapelekea mwili ku addapt na kutafuta njia mbadala ya kujikinga .

Kingine ni kuna watu baadhi miili yao inakuwa na uwezo wa kulimit kiwango cha virusi ndani ya miili yao yaani unakuta anapata maambukizi lakini viral load per cell inakuwa ndogo mno na virusi huwa haviendelei kujizalisha wala kutafuta njia ya kutoka ndani ya cell na kufanya maambukizi zaidi.

Hawa watu wanaitwa HIV controllers na hii haitegemeani na group la damu .
Hawa watu wanaweza kuambukiza wengine ila wao hutokaa usikie wanapata magonjwa mengine yanayotokea baada ya kupata ukimwi kamwe na unaweza ukawapima waka test negative.

Nijuavyi ni kwamba kuna magojwa ya kawaida yasiyoambukiza ambayo kila kundi la damu linaathiriwa zaidi na huo ugojwa mfano group AB magonjwa ya mfumo wa moyo, B kisukari na O ni vidonda vya tumbo.
Katika elimu ngumu ni jinsi cell ya mwanadamu inavyofanya kazi ni moja ya somo zuri sana
 
Back
Top Bottom