1884
Senior Member
- Aug 28, 2021
- 118
- 191
Mimi sikuwahi kupima kujua grupu la damu,nikiwa mikoa yenye mbu mfano ukanda wa pwani nilikuwa nang'atwa na mbu hadi mchana.Mimi ni O+ ambacho mpaka sasa nina uhakika nacho ni kwamba O anang’atwa sana na mbu.
Yaani mkikaa nje usiku mtu mwenye O na mwingine labda A, B au AB basi wewe mwenye O lazima cha moto ukione wakati huo unapiga piga mbu mwezako hana habari
Majuzi kati nimepima grupu la damu ni O+
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app

