Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

This whole thing regarding those planes is so terribly convoluted...

So much information...you don't know for sure who's telling the truth and who's not!

But oh well...nowadays anybody can be an expert on anything and everything.
Just like JPM is! Jack of all trades JOATMON
 
cha sizonje mkatoliki
 
Linawatokea puani..unafanyaje vitu bila ya kulishirikisha binge hay ndo madhara ya Kuwa na ovepower leader
 

Sasa hapo unaisafisha serikali au ndio unaipaka matope? Haujui hata jinsi ya kujenga hoja kuitetea serikali yet unalipwa!
Mh Rais ana kazi nzito sana!
 
Hv humu kwenye hii thread mbona Lugha zinabadilikabadilika mwanzoni tuliaminishwa kuwa ndege yetu ni line 19 watu walipoleta ushahid kuwa ni ya Rwanda lugha ikawa Rwanda walituonea huruma wakaamua watuachie kanakwamba zilikua zimekwisha hizo Terrible Teens baadae Wazir kutoa ufafanuz wa aina ya ndege na line number yake lugha tena imebadilika eti Boing haijafikia huko kwenye 719 halafu haohao wanadai kampuni moja ya uarabuni imeorder ndege kama hzo 300 so si rahis kwa Tz kupata hv tusiokua na uelewa wa haya mambo tukiamini kua kuna watu wana lengo lao tutakua tumekosea
 

787-8 is first ever wide-body order for 'The Wings of Kilimanjaro'

Boeing and the United Republic of Tanzania have confirmed an order for one 787-8 Dreamliner, valued at $224.6 million at list prices. The aircraft will be operated by Air Tanzania, the flag carrier of Tanzania.

Air Tanzania said, "The 787 Dreamliner will be the flagship aircraft as we renew and grow the Air Tanzania fleet. We aim to establish our long-haul capability by starting flights to Europe, Asia and the U.S.A over the coming years and the 787 is the perfect aircraft to achieve this ambition."

The 787 is a family of technologically advanced, super-efficient airplanes with new passenger-pleasing features. In addition to bringing big-jet ranges to midsize airplanes, the 787 will provide Air Tanzania with unmatched fuel efficiency and environmental performance, using 20 to 25 percent less fuel and with 20 to 25 percent fewer emissions than the airplanes it replaces.

"I am pleased to welcome Air Tanzania as the newest member of the Dreamliner family,” said Van Rex Gallard, Vice President, Latin America, Africa & Caribbean Sales, Boeing Commercial Airplanes. "We are honored that Air Tanzania has chosen the 787 to operate its long-haul operations. The 787 will significantly increase passenger numbers feeding on to its domestic flights thereby boosting overall tourism to Tanzania."

Air Tanzania Company Limited is the flag carrier of Tanzania based in Dar es Salaam with its hub at Julius Nyerere International Airport and currently flies to destinations in Tanzania with a growing fleet of airplanes.

Ndugu zangu tuwache kuongea kiujumla.
Hapo juu kuna taarifa toka Boeing na ukisoma para ya kwanza inathibitisha kuwa tanzania imo oda ndege aina B787 Dream liner/ kwa hiyo kuzungumzia TT ambazo tayari zipo hakuna mantiki.

Ukienda kwenye para ya 2 ambayo inazungumzia specs za hiyo ndege ni dhahiri kuwa haiwezekani ' Terrible Twin' zikawa na hizo specs.
Hivyo kuanza kuzungumzia dhana ya kuwa tumeingizwa mtini halina maana kabisa.
Nina uhakika ndege hiyo itakapofika itadhihirika hivyo.
 
This whole thing regarding those planes is so terribly convoluted...

So much information...you don't know for sure who's telling the truth and who's not!

But oh well...nowadays anybody can be an expert on anything and everything.
gone are the days when we use to say yes to every thing.
at least nowadays we can google and get the information we need concerning issues.
So who's telling the truth about these terrible teens, we are are more concerned simply because we have spend slot of money on this teen.
It doesn't matter whether we are experts or not ,we are questioning because the said amount is so much as per the price. It's our money we have to be worried spending alot of money in used plane.
 
Angalia na hii

Data through April 30, 2017.

Orders and deliveries graph[edit]
 
Wameanza kutafuta pesa za kampeni ilo ni jambo la wazi,kumbuka matukio yote ya miaka ya nyuma.Safari ii wameanza mapema tu.
 

Ndege 787 line 719 ni aina ya 787-8
 
Mtoa post hebu leo rudi kwenye sources zako hizo ulizozitoa uangalie tena hiyo ndege 787-8 ln 19 imeuzwa kwa nchi gani..

Siku nyingine kuwa na subira usikurupuke kupost thread bila kuwa na uhakika
 
wanadai hizo terrible teens zina uzito mno
 
mlitaka ndege inayobeba zaidi ya tani 80 iwe na uzito kama unyoya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…