Kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa Chenge.
Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!
Acheni porojo, ukweli ni kwamba Chenge alikuwa akiwafukuzia baada ya wao kumtoka kisanii na pesa kibao aliwahonga ili akale uroda na mmoja wao. Wao walipoona wamepata mtaji wao wakasepa. Chenge akawafukuzia na kukuta wana panda kibajaji. Mbio zikaanza. Sasa theory ni kuwa dereva wa bajaj alipoona shangingi linakuja fosi nae akakiweka kibajaj vizuri kisha akaruka na kusepa. Chenge akiwa amelewa chakari akawaparamia kwa makusudi, au kwa hasira.
kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa chenge.
Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!
" Mke wa Mheshimiwa mambo hadharani ! (Kifua!)
Kwahiyo hata kiasi cha pesa kilikuwa kinajulikana cha fain yake ?
Na kingine kwahiyo Baada ya kumgonga kesi ya Mkwe chenge na Chenge ikawa imekwisha wakalipana kwa kesi ile ya mauaji?
Tanzania kweli kama huna pesa utaishi kwa taabu na mwenye pesa siyo mwenzio
" Mke wa Mheshimiwa mambo hadharani ! (Kifua!)
kakomaa kifua hadi nywele kifuani duuuuuuhhh
Kesi ya Chenge ambaye aliuuwa wasichana wawili kwa kuwagonga na gari huku wao wakiwa kwenye bajaj usiku wa manane. Lakini ukweli ni kuwa mkewe Chenge alikuwa akimfuatilia mume waku usiku huo na chenge ambaye baada ya kustarehe na wasichana hao aliwashusha na kuwalipa wakachukua bajaj bila kujua mkewe alikuwa akimfuatilia kwa nyuma.
Baada ya bajaj kuondoka na wasichana wale mkewe aliifukuzia na kuwagonga kwa bahati mbaya ndipo mkulu Chenge akajivisha kesi hiyo na kumuambia mkewe aondoke fasta kwani alijua kwake yeye ingeishia kupewa kijifaini cha vijisenti laki 7.5 HII NDIO BONGO MWNAWANE>>>
Huyu ndio mke wa Chenge akikata vijisenti vya faini
henge mwenye siku ya hukumu yake akifurahia na kumuambia mkewe "Si nilikuambia sie ndio wenye nchi hii ngoma ungebaki nayo ingekula kwako..."
Inawezekana nae alikufa lakini maiti yake ilihitajika zaidi kuliko ya wale wasichana!! si unajua tena imani za kule kwa wakina vi-jisenti na uchaguzi ulikuwa unakaribia?! (ni hisia tu yeye mwenyewe anaweza kututhibitishia kuwa siyo!)Tuambie huyo aliyefanya hiyo ajali!! Halafu dereva wa bajaji mpaka leo yuko wapi??
Ajali kubwa kama ile ina maana dereva hakuvunjika hata kidole??
masikini weeee.......
Yaani mwenye kesi alikuwa mke wa chenge, ila chenge akaamua kuichukua kumwokoa mkewe kwa vile alikuwa anamfuatilia, hilo mkuu lina ukweli au porojo?????????????....umeona eeeeh? .....and
Yaani mwenye kesi alikuwa mke wa chenge, ila chenge akaamua kuichukua kumwokoa mkewe kwa vile alikuwa anamfuatilia, hilo mkuu lina ukweli au porojo?????????????
Case inazidi kuchanganya zaidiJamani acheni Porojo. Kwa taarifa zenu mke wa Chenge alikuwa Dubai kwa ajili ya shopping ya duka lake. Ukweli ni kwmba Tina Chenge alirudi nchini kesho yake baada ya ajali. Uho ndio ukweli. Ila ni kweli ile ajali akufanya Chenge mwenyewe ila mtu mwingine (private life). Narudia mke wa Chenge alikuwa nje ya nchi wakati wa ajali. I am 100% sure of this.