Ukweli: Hela zilizookolewa ni "Hela Hewa"

Ukweli: Hela zilizookolewa ni "Hela Hewa"

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,923
Reaction score
133,965
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge, kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI na siku ya Uhuru. Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo. Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje. Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko, huwezi sema umeokoa mamilioni. Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
 
Kumbuka serikali bado inakopesheka, hivyo angeamua sherehe ingekuepo tu!
 
Wenda hazina pesa hakuna, wenda anafuta kwa sababu anajua pesa hamna maana asingefuta asingepata pesa ya kutoa!!! Duuuhh kweli hii nchi ngumu hii
 
Hivi huwa mnaandika kujifurahisha au.Kwani hizo sherehe zingefanyika bila fedha.Ridiculous thoughts.
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
Umeua mkuu
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
Hivi unaelewa unachoongea kamanda.?? Unapo ondoa fixed cost kwenye expense achedule yako ambayo kwenye business plan uliiweka, ina maana gani? Its basically a saving no matter what. Do not compare it with the Cashflow. Umeelewa? ????? Nenda shule kwanza kabla hujaja kuzungumzia masuala kama haya
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono

Umesomeka mkuu.

Ila kuna kitu unakusahau, kama Magufuli angekuwa na nia ya kufanya hiyo sherehe serikali ingeweza kukopa ili sherehe ifanyike, na huo mkopo ungelipwa na riba juu.

Ni mara ngapi serikali imekopa kwa matumizi yasiyo ya lazima? Hope wewe unajua ukweli kwa sababu unafanya kazi kwenye ofisi yenye access na hizi information.

Je, hapo hajaokoa?
 
Hivi unaelewa unachoongea kamanda.?? Unapo ondoa fixed cost kwenye expense achedule yako ambayo kwenye business plan uliiweka, ina maana gani? Its basically a saving no matter what. Do not compare it with the Cashflow. Umeelewa? ????? Nenda shule kwanza kabla hujaja kuzungumzia masuala kama haya

.................Like!
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono

Nakuona kabisa hiyo sentensi ya mwisho umeisema kwa sauti ya chiiini na huku shingo upande!
 
Acha kudhalilisha ukawa wenzako we,wa2 watawaona c waaminifu na ni wa2 wa kupenda madaraka,penye sifa pape c unakashifu2
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono

Zamani kulikuwa na kamsemo MJINGA na MPUMBAVU. Katika hao yupo ambaye akielekezwa anaelewa, na mwingine anajifanya anajua wakati ni juha wa kutupwa. Huyo juha tuliambiwa tuachane naye.
 
Serikali imeshatoa ufafanuzi juu ya hali ya hazina, ila nyumbu bado hamuelewi...
 
Back
Top Bottom