Ukweli: Hela zilizookolewa ni "Hela Hewa"

Ukweli: Hela zilizookolewa ni "Hela Hewa"

Na mvimbe mpasuke....TINGA TINGA LIKO UWANJANI

Braza a thing is, tulikomaa na upinzanI coz huku utawalani palikua pamekaa kimapichapicha sana, hatufanyi upinzani kwasababu ya mapenzi tu kama vile team ya mpira, sisi tunafurahi sana tunapoona haya anayoyafanya Baba Jose, am very sure kua sisiem ndo hawapendezwi na utendaji wake coz unaathirI ugali wao. Hata hivyo ni mapema sana kujudge utendaji wa mtu ndani ya muda mfupi huu alioingia madarakani, kumbuka mmetuongoza kwa awamu tatu, zaidi ya miaka 30, huwezi linganisha MIAKA 30 kwa SIKU 30.
 
Umeibuka mkuu. Nilikuwa na wasiwasi kuwa labda umechukua maamuzi magumu ukajitoa uhai baada ya rais wako kuukosa urais wa JMT. Karibu tena maana maumivu uliyopata najua hayana kifani.
 
ivi unakuwa unafkiria au ushabki wa siasa zisizo na tja......kabla ujasema Fanya utaft pesa zlzo okolewa azwez kulipa den tulokuwa nao Leo utakurupuka VP kusema pumba mpaka SAA iv nchi imeokoa tilion moja name bado den kubwa said ya capo kam una lakuongea tafuta watt uwapigie adth
 
Sasa na wewe ndo umeandika nini hiki??
Mambo ya wahasibu tuachie wahasibu,
Ulichoandika ni utoto tu wa kukariri misamiati ya kihasibu.
Rais wenu hakuna alichookoa kwa sababu azina haina kitu basi.

onesha huo 'utoto!'
....by the way,huwezi kuwa muhasibu kwa hicho kichwa chepesi kilichotoa hilo hitimisho!
 
Mleta mada ssoma ulichoandika ni pumba za hali ya juu. Hivi mtu kama ulikuwa na safari ya kutoka mwenge kwenda posta ambayo nauli sh 500 lakini hukuwa nayo ila ungeweza hata kuazima ukaamua kuikacha safari hapo hujaokoa ile 500 yako??

Kweli kuna wengi ambao wanatumia vichwa kufugia nywele!!
 
Na mvimbe mpasuke....TINGA TINGA LIKO UWANJANI

Kuvimba na kupasuka kuko Msoga. Mwenyekiti wa Club twawala kajikunyata kama kuku kanyeshewa mvua ya mawe. Kaisoma namba aliyoandika mwenyewe.
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono

Mkuu OKW umeshambuliwa sana lakini ukweli ndio huo uliosema. Masikini anaweza walaza njaa watoto wake kwa vile hana chakula halafu akawaambia leo tunabana matumizi kwa ajili ya maendeleo ya familia huko roho inauma lakini watoto wakashangilia kuwa baba kweli mtu wa mipango.
 
Umesomeka mkuu.

Ila kuna kitu unakusahau, kama Magufuli angekuwa na nia ya kufanya hiyo sherehe serikali ingeweza kukopa ili sherehe ifanyike, na huo mkopo ungelipwa na riba juu.

Ni mara ngapi serikali imekopa kwa matumizi yasiyo ya lazima? Hope wewe unajua ukweli kwa sababu unafanya kazi kwenye ofisi yenye access na hizi information.

Je, hapo hajaokoa?

Mkuu OkwiBobaniSunzu anaishi igunga..anaokota okota Tu taarifa
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono

wewe mbumbu hivi shule umeenda wewe hivi unazani upinzani ni ku cristize kila kitunhatbkiwe kizuri mburulazzzzzzz
 
pumba zingine bhana!

Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
 
Mleta mada soma ulichoandika ni pumba za hali ya juu. Hivi mtu kama ulikuwa na safari ya kutoka mwenge kwenda posta ambayo nauli sh 500 lakini hukuwa nayo ila ungeweza hata kuazima ukaamua kuikacha safari hapo hujaokoa ile 500 yako??

Kweli kuna wengi ambao wanatumia vichwa kufugia nywele!!

MKUU MAUNDUMULA
Huu mfano hata mtoto wa kindergarten atakuwa kakuelewa kama mtu hataki kuelewa kwa mfano huu basi hakuna namna tukubali yaishe.
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge, kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI na siku ya Uhuru. Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo. Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje. Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko, huwezi sema umeokoa mamilioni. Mengine yanayoendelea nayaunga mkono

Mkuuu nakuunga mkono 100% humu watu wapo kama manyumbu wao hata hawajui nini wanaunga mkono
 
Unafahamu principle za fiscal funding? Kasome kwanza kisha urudi hapa
 
Hivi unaelewa unachoongea kamanda.?? Unapo ondoa fixed cost kwenye expense achedule yako ambayo kwenye business plan uliiweka, ina maana gani? Its basically a saving no matter what. Do not compare it with the Cashflow. Umeelewa? ????? Nenda shule kwanza kabla hujaja kuzungumzia masuala kama haya

Hata ukinawa mjini huendi,muulize makonda
 
Back
Top Bottom