kwani hajui hili, si unyumbu tu unamsumbuaAmeokoa hela ambazo ilibidi zikwopwe kutekeleza Sherehe hizo.
ndio maana yakeAmeokoa hela ambazo ilibidi zikwopwe kutekeleza Sherehe hizo.
Mponda sasa hivi nchi inaendeshwa na mla mdudu sio kuponda pilau na ndiziSerikali imeshatoa ufafanuzi juu ya hali ya hazina, ila nyumbu bado hamuelewi...
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
Hivi unaelewa unachoongea kamanda.?? Unapo ondoa fixed cost kwenye expense achedule yako ambayo kwenye business plan uliiweka, ina maana gani? Its basically a saving no matter what. Do not compare it with the Cashflow. Umeelewa? ????? Nenda shule kwanza kabla hujaja kuzungumzia masuala kama haya
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
wanaposema badala yake zinunue vitanda...huoni kuwa ni usanii
Akina "ulipo tupo", 4U Movement, Team Lowassa. Kila kitu anachofanya rais wetu ninyi mnapinga tu na kutafuta vijisababu visivyokuwa na maana. Kwa kasi hii ya Dk. Magufuli, UKAWA na vyama vingine vyote vya upinzani mjiandae kisaikolojia kwani sasa CCM ndio hivyo tena, kuing'oa madarakani ni ndoto za mchana. Kama MUNGU atamjalia Dk. Magufuli afya na uzima, miaka 10 ijayo vyama vyenu vitakuwa vimefutika kwenye historia ya siasa za Tanzania. "Majipu yote Dk. Magufuli atakuwa ameyatumbua, sijui ninyi mtafanya nini; maana mtakuwa hamna ajenda yoyote ya kusimamia. Mtaisoma namba. #Hapa Kazi Tu
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge,Kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI,na siku ya Uhuru...Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela...Ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo.Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje.Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko,huwezi sema umeokoa mamilioni.Mengine yanayoendelea nayaunga mkono