Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Wewe na mimi tunaongea lugha moja,nisome vizuri kwani naungana na mleta uzi dhidi ya wakosoaji wake!
Pamoja ndugu
Wewe na mimi tunaongea lugha moja,nisome vizuri kwani naungana na mleta uzi dhidi ya wakosoaji wake!
Sawa kutokopa ni busara.. huwezi kusema tumeokoa pesa zetu..wakati ungekopa
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge, kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI na siku ya Uhuru. Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo. Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje. Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko, huwezi sema umeokoa mamilioni. Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
wanaposema badala yake zinunue vitanda...huoni kuwa ni usanii
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge, kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI na siku ya Uhuru. Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo. Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje. Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko, huwezi sema umeokoa mamilioni. Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
OKW BOBAN SUNZU, Sasa huu mwingine utakuwa ni wivu. Hata kama sisi ni UKAWA ifike mahali tumwunge mkono huyu jamaa, maana yote anayofanya yamemtofautisha sana na ccm, kwa ufupi huyu ndugu ni mwana-UKAWA mwenzetu tumsaidieni. Kusema eti ameokoa fedha hewa mimi sikubaliani na wewe hata kidogo, kwa ufupi jamaa ameokoa mamilioni ambayo yalikuwa yanaenda kupigwa na mataahira ya ccm. Unafikri angekuwa Mkw.ere hata kama hazina imekauka angefuta hayo maadhimisho? Hapo hata ingekuwa kwenda kutembeza bakuli angeenda mradi hela zije zipigwe tu!!Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge, kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI na siku ya Uhuru. Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo. Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje. Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko, huwezi sema umeokoa mamilioni. Mengine yanayoendelea nayaunga mkono
Na kwanini udanganywe??Hatudanganyiki