Ukweli: Hela zilizookolewa ni "Hela Hewa"

Ukweli: Hela zilizookolewa ni "Hela Hewa"

Enzi za JK hela kama hakuna alikuwa anakopa,so ilikuwa ni lazima jambo lifanyike hata kwa mkopo.Kwa kubana ndan huyu jamaa anaakili sana.JK kama pesa hakuna anakopa huyu anajua kutafuta na kubana hapahapa,fikiri we we!
 
Zamani kulikuwa na kamsemo MJINGA na MPUMBAVU. Katika hao yupo ambaye akielekezwa anaelewa, na mwingine anajifanya anajua wakati ni juha wa kutupwa. Huyo juha tuliambiwa tuachane naye.

Kama wewe ulivyo juha
 
Upo sahihi okwi boban, ungeichukua na ile barua ya kufuta sherehe za Uhuru paragraph ya mwisho anasema sherehe za Uhuru ni muhimu sana. kuanzia mwakani zitaendelea kuwepo. Ingekuwa analenga kubana kweli matumizi angezifuta moja kwa moja.
 
Nampongeza Magufuli kufuta sherehe za maadhimisho mbalimbali ikiwepo kupunguza matumizi ya pesa sherehe za wabunge, kufuta sherehe ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI na siku ya Uhuru. Taarifa za Ufutwaji huo zimekuwa zikitolewa kwamba serikali imeokoa mamilioni ya hela ila ukweli ni kuwa hayo mamilioni yaliyookolewa hayapo. Serikali haina hela za kutosha na inakabiliwa na lundo la madeni ya ndani na nje. Mfano huna hela ya kwenda club wikend hii halafu ukafuta huo mtoko, huwezi sema umeokoa mamilioni. Mengine yanayoendelea nayaunga mkono

Sawa mkuu kwa hiyo na wale maofisa waandamizi ambao huwa wanahudhuria kutokaa taasisi za serikali kama afya nao wangeenda na hela hewa like per diem na vinginevyo.....sawa sawa mkuu
 
Acha kudhalilisha ukawa wenzako we,wa2 watawaona c waaminifu na ni wa2 wa kupenda madaraka,penye sifa pape c unakashifu2

Wacha kujipendekeza hupati hata ujumbe wa nyumba 10 wachilia mbali udc
 
Ccm mbele kwa mbeleee mmmenichagua wenyewe na mvimbe mpasukee mtaisoma nambaaaaa.........
 
Mleta mada ssoma ulichoandika ni pumba za hali ya juu. Hivi mtu kama ulikuwa na safari ya kutoka mwenge kwenda posta ambayo nauli sh 500 lakini hukuwa nayo ila ungeweza hata kuazima ukaamua kuikacha safari hapo hujaokoa ile 500 yako??

Kweli kuna wengi ambao wanatumia vichwa kufugia nywele!!

Huwezi kuokoa pesa ambayo huna
 
Cna haja na cheo wala cheo,ukiona hvyo ndo uone hizo ni akili zako za ajab ajab za kupenda hella,bado niko high level by the way xo i dont expect anyxng
 
Nimeahirisha kwenda kanisani leo kwa vile najisikia aibu kubaki kitini wakati watu wengine wanakwenda kutoa sadaka kwani mie sina sadaka leo.Hata hivyo nimeokoa fedha yangu ya sadaka kwani ilkakuwa nauli ya kwendea kazini kesho!
 
Enzi za JK hela kama hakuna alikuwa anakopa,so ilikuwa ni lazima jambo lifanyike hata kwa mkopo.Kwa kubana ndan huyu jamaa anaakili sana.JK kama pesa hakuna anakopa huyu anajua kutafuta na kubana hapahapa,fikiri we we!

Sawa kutokopa ni busara.. huwezi kusema tumeokoa pesa zetu..wakati ungekopa
 
Nimeahirisha kwenda kanisani leo kwa vile najisikia aibu kubaki kitini wakati watu wengine wanakwenda kutoa sadaka kwani mie sina sadaka leo.Hata hivyo nimeokoa fedha yangu ya sadaka kwani ilkakuwa nauli ya kwendea kazini kesho!

vipi usingekuwa na pesa ya sadaka ukaamua kutoenda kanisani..ungesema umeokoa pesa yako wakati hela yenyewe haukuwa nayo
 
wanaposema badala yake zinunue vitanda...huoni kuwa ni usanii
Zilizo nunulia vitanda zilikua real Cash na walikua nazo mkononi. Ila zile za kwenda Nje ya nchi na kuadhimisha sherehe za uhuru zingeweza kukopwa na kuiingizia serikali katika madeni zaidi. Mbona hii ni fact nyepesi sana ambayo uhitaji shahada kuielewa!?
 
vipi usingekuwa na pesa ya sadaka ukaamua kutoenda kanisani..ungesema umeokoa pesa yako wakati hela yenyewe haukuwa nayo

Wewe na mimi tunaongea lugha moja,nisome vizuri kwani naungana na mleta uzi dhidi ya wakosoaji wake!
 
Back
Top Bottom