Huyo utakuwa hujam-misswe ulitakaje? Akuanze?
Si lazima ukim-miss mtu umuanze kuongea naye.
Huyo utakuwa hujam-miss
Jibu lake ni RIP
huwaga... wizi mtupu.hivi ushakutana na hili! Mtu unampigia simu anakwambia eti amekumis sana kama ndivyo hivyo si ungenipigia au ungetuma sms! Mtu ana namba za sim za kwako, email, jf mko wote, facebook mko wote, tweeter, alafu bado anasema amekumiss!