Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,819
Kwani niliapa kuilinda hiyo katiba?Hapana mkuu
Kwani niliapa kuilinda hiyo katiba?Hapana mkuu
sawa mkuu Acha waongo tuendelee kutumia juisi ya ukwajuDuu! Hiyo sayansi yako ulisomea wapi mwenzetu? Acha kupotosha watu kama hujui bora ungenyamaza maana ulichokiandika ni mawazo yako na wala hakuna ukweli wowote!
ujuee kitambi kimenianza afu sikipendiWachina wanakula sana ukwaju na matumbo yao ni flat. Pia wana kunywa green tea baada ya kula.
Ukiwa na pesa kitakujaJamani Mimi mbona sipati Kitambi, nina matatizo gani?
Umehamisha sifa anazopaswa Yesu na kumpa sky eclat kwa maana hiyo umeingilia utukufu wa Yesu.Ndio kwani nimevunja katiba?
Unacho cha kupangusia simu?ujuee kitambi kimenianza afu sikipendi
Njoo tubadilishane mkuu, Mi ninacho cha kishkaji! Nakosa watoto wazuri kwa sababu ya kitambi!Jamani Mimi mbona sipati Kitambi, nina matatizo gani?
Hahaaa kama interest ni watoto wazuri Endelea Kutafuta pesa tuu. Zikijaa hata ukiwa kama lemutuz utaambiwa napenda six packs zakoNjoo tubadilishane mkuu, Mi ninacho cha kishkaji! Nakosa watoto wazuri kwa sababu ya kitambi!
Wengine wanasema ni kuridhika tuu kinakuja.Ukiwa na pesa kitakuja
Haaaah. Haaaah. Haaah!Unacho cha kupangusia simu?
Inakutisha nini sasa, uchungu!? Mi napiga sana hiyo kitu! Unaweza kuchanganya na asali kidogo ili uizoee radha, baadae unaacha kuweka asali kabisa ili iingie vizuriNina green tea ina miezi minne kila nikiwaza kuinywa nikiwaza shughuli yake na muda wa kuinywa mpaka vitu vyote viishe nashindwa. Nitajaribu juice ya ukwaju.
Naiandaaje kwanza?
Green tea ni nzuri sana. Usifatishe taste yake.Nina green tea ina miezi minne kila nikiwaza kuinywa nikiwaza shughuli yake na muda wa kuinywa mpaka vitu vyote viishe nashindwa. Nitajaribu juice ya ukwaju.
Naiandaaje kwanza?
How?Ila ukwaju unapunguza sana uzalishaji wa sparms na nguvu za kiume kwa ujumla wake
Green tea mi ipi dadaWachina wanakula sana ukwaju na matumbo yao ni flat. Pia wana kunywa green tea baada ya kula.