Ukwaju ni kiboko ya kitambi

Kama kuna watu wenye utaalamu wa masuala ya nutrition na mmeng'enyo wa chakuka kwenye mwili wa binadamu waje watusaidie ufafanuzi wa namna kitambi kinavyotokea na kinavyoweza punguzwa. Ila hizi assumptions watu wanazokuja nazo!!!!
Watu wanapenda kusikia wanachotaka na sio ukweli mkuu
Kina Jannabi na Kusenge kila Leo wanaeleza namna kitambi kinavyojengeka
Ni maamuzi ya mtu kuchagua anachotaka kusikia
 
Back
Top Bottom