ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,577
- 44,814
Chukua ukwaju loweka kama nusu saa kisha chemsha kisha weka asali au sukari kisha kunywaUnatumiaje tumiaje mkuu?
Lazima under chooni ila mi sina kitambi sikunywa kwa lengo hilo
Chukua ukwaju loweka kama nusu saa kisha chemsha kisha weka asali au sukari kisha kunywaUnatumiaje tumiaje mkuu?
Sayansi mwitu 🤣🤣🙌Heheh hizi sayansi mwitu hizi...
Kwa hiyo kitambi ni furushi la mavi tumboni sio!!!
Watu wanapenda kusikia wanachotaka na sio ukweli mkuuKama kuna watu wenye utaalamu wa masuala ya nutrition na mmeng'enyo wa chakuka kwenye mwili wa binadamu waje watusaidie ufafanuzi wa namna kitambi kinavyotokea na kinavyoweza punguzwa. Ila hizi assumptions watu wanazokuja nazo!!!!