masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Bunge ni Ikulu ya Demokrasia , na kulidharau bunge au kulisusia ni kuwadharau wananchi.mkuu...hata kubaki bungeni unapangiwa cha kuongea na hauko huru...sasa bungeni kuna maana gani
w engine sisi tunaona kuziba watu midomo ni tatizo kubwa kuliko kuwaacha wabwabwaje...tupingane kwa hoja na utendaji wetu usindikize hoja zetu
Mbona wapinzani na wabunge wote walishirikiana vizuri sana wakati wa Escrow, hadi wananchi tukawapenda!
Tatizo wana Ukawa wakipenyeza siasa za chama chao badala ya hoja za kitaifa, ni lazima wabunge wa CCM watawapinga.