UKUTA: Tathmini ya kitakachotekea baada ya hili tamko

UKUTA: Tathmini ya kitakachotekea baada ya hili tamko

Ndugu zangu.
Mikutano ya kisiasa imetambuliwa kikatiba.Awamu zote zilizopita mikutano ya siasa ilikuwa ruksa.Kinana kafanya mikutano ya siasa mfululizo kuanzia 2010-2015.Kwa nini katika awamu ya tano mikutano ipigwe marufuku?
Nisaidieni hapo.

...rekebisha kidogo, mikutano iliyopigwa marufuku ni ya upinzani tu, ile ya ccm ni kama kawa!
 
Ungeanza kwa kukemea upigaji marufuku wa mikutano ya kisiasa.
Newton's Third Law of motion states that "To every action there is a reaction".
Haiwezekani akaja mtu mmoja akaondoa haki zilizopitishwa kikatiba alafu ukategemea mambo yabaki vile vile.Hii marufuku itazaa wanaharakati lukuki.
Samahani nakazia tu! To every action there is an equal and opposite reaction.
 
En
Hii ni tathmini yangu mnaweza mkakubaliana na mimi au mkakataa.
Refer mawazo yaliyowasilishwa na profesa Kitila wa UDSM kuwa upinzani unatakiwa ukae chini na kuja na mbinu zingine kwa sababu huu sio utawala wa JK.

Naona wapinzani wamempuuza ila Kitila Mkumbo alikuwa na point muhimu sana na sio ya kuichukulia juu juu.

Sasa kuanzia sasa hivi polisi watatoA vitisho na kupiga marufuku hayo maandamano na mikusanyiko msishangae baadhi ya viongoZi kukamatwa na kuswekwa ndani..

Ukiangalia mwisho wa UKUTA sio mzuri na unaweza kuleta mtafaruku na uvunjifu wa amani kati ya serikali watawala na upinzani..

Lowasa alishauri upinzani uachane na siasa za harakati ila naona hawajamsikiliza..
Kama Makamba alivyosema kuwa anayekuja atawabatiza kwa moto, na huu ndio utakuwa mwanzo wa moto

Stay tuned and watch the end of this movie.:
Endelea na woga wako had I watakapombinafsishia mkeo kwa Raid ndipo utashtuka. Udikteta ni ubabe wa kinyama mind you
 
Mimi nashindwa kuwaelewa wananchi wenzangu nini hasa wanataka ? Kimsingi nakubali kuwa kuna baadhi ya mambo rais anafanya ni mema hasa kushambulia ufisadi ubadhirifu na uzembe ila linapokuja suali la demokrasia siko pamoja kabisa na magufuli na hapo nawaunga mkono kabisa wanaopiga kelele juu ya hilo!
 
Sifurahii lakini njia inayotumika sio nzuri kwa wakati huu... Tungekuwa waarabu hapo sawa.. Waarabu waki rise wanaingia kitaa wote kupinga udhalimu.. Ila kwa bongo yetubkwa woga wetu huu watakaoumia ni wachache sana ..mimi nishaingia sana kitaa na chupa langu la maji.. Ila ukipigwa au ukiumia unaenda kuuguza mwenyewe japo hio ndio price ya HAKI. Wewe si utaona.. Kuanzia wiki hii utaona matamko ya mapolisi kila mkoa..
Tunaweza kupiga kelele kwa njia ya amani tu na haiwezekani kurafuta njia nyingine kwa kuwa tu chama tawala kimeamua kuwa kidhalimu na hakina adabu kwa na huruma kwa raia wake!haki haiombwi hudaiwa !ndio madhara yatakuwepo na lazima mimi au wewe uumie ili madhalim waelewe!
 
Kaka kweli unamaanisha? Ushawahi kushiriki maandamano yoyote afu wazee wa kazi wakaja kuleta noma? Niulize mimi hapa..
Kama mlikuwa wawili ni rahisi kupigwa lakini nguvu ya umma siku zote hushinda. Siungi mkono vurugu wala sina ushabiki na chama chochote isipokuwa nimeona nikufahamishe tu umma ukiamua kusimamia haki hata uje na maji ya kuwasha ukayachanganya na chunvi umma ndio utashinda. Mifano ipo mingi tu lakini viongozi wa afrika hufanya mioyo migumu.
 
Mtu ambaye anasema eti tafuteni njia nyingine alafu hana suggestion ya hiyo njia nyingine anatawaliwa na fear of unknown.
Kwa sasa UKUTA ndiyo dawa na tunajua viongozi watakamatwa wengine wataumizwa na sisi tunaomba iwe ivyo kwasababu hakuna mafanikio bila baadhi ya watu kujitoa na kuumia kwa maslahi ya wengi.

Huyo Kitila na wewe ni cowards,
A coward is a liar.
 
mimi ni mfuasi wa CHADEMA, ila kwa sasa siungi mkono siasa za harakati, maandamano, vurugu.

Chadema wakae waje na mpango mkakati mbadala wa maandamano na vurungu. Nimechoka kutumiwa
Labda uliyekatwa mkia
1469678294833.jpg
 
Hakuna dhambi kubwa duniani kama woga.
By Godbless Lema, Mbunge wa Arusha mjini.

Inaelekea wewe uliyeandika uzi huu utakuwa kada wa Chama tawala ambaye unafaidika na uminyaji huu wa waziwazi wa demokrasia hapa nchini.
Mlianza kwa kupiga deki barabara.
Sasa kaandamaneni tu, mwisho wa siku mkutane na huruma ya mzee wa Parole.
 
mimi ni mfuasi wa CHADEMA, ila kwa sasa siungi mkono siasa za harakati, maandamano, vurugu.

Chadema wakae waje na mpango mkakati mbadala wa maandamano na vurungu. Nimechoka kutumiwa
Weka hiyo unayoiita mipango mikakati hapa si kudharau huku huna mpango mbadala
 
Mwangosi alionywa hivihivi.
Ati leo ameshinda kesi, nuuaji atskaa lupango miaka 7, wakati Mwangosi yuko
Sehemu asiyoweza kuoatikana.
Walisema watamsomeshea watoto, yote magirini ya kisiasa.

Kaandamaneni mupate kuingia kwenye historia, na kuwahi viwanja kule kusikojulikana.
Kweli ukiwa mfuasi wa dola huoni ni kusifu na kuabudu. Mwangosi ni shujaa tayari na Jina lake litadumu .
Kifo kila mmoja atakufa hata huyo anaejiona yuko peponi
 
Back
Top Bottom