Kwenye haya madini yote tuliyonayo Tanzania....
1. Tupo zaidi ya 45M now, lakini katika hao wanaojuwa at leat kiasi fulani ya nini kinaendela kwenye DHAHABU hawazidi laki tano (Makadilio tu)
2. Tupo zaidi ya 45M now, lakini katika hao wanaojuwa at leat kiasi fulani ya nini kinaendela kwenye ALMASI hawazidi laki nne
3. Tupo zaidi ya 45M now, lakini katika hao wanaojuwa at leat kiasi fulani ya nini kinaendela kwenye GESI hawazidi TATU
Kati idadi iliyotajwa hapo juu, wanaojua mambo ya sehemu zaidi ya moja (ALMASI NA DHAHABU NA GESI) pengine hawazidi laki mbili....
CHA AJABU, SASA KWENYE MIJADALA HUMU JF NA KWINGINEKO, WATU WANAONGEA MIVUKE YA KUTISHA.... yaani wanaojuwa wanaamuaga kujikalia KIMYA... maana kubishana na siyejua, NA KWA UWINGI WAO HUWEZI WABADILISHA, UKIZINGATIA HAWAONGOZWI NA HOJA BALI...
1. Uchama
Hawa, wanaongea kumlinda aliye kwenye chama chao... yaani hata achemke vipi, the fact kwamba wapo chama kimoja lazima amtetee... HAPA WAPO AKINA NDIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO WENGI SANA
2. Udini
Wengine wanalitazama kwa namna hii, yaani akiongea askofu, mchungaji, sijui shehe, sijui imamu yaani lazima amuunge mkono hata kama anachemka na hajui lolote kuhusu madini
3. Ukanda
Hapa ndo wale AKINA NYIE MNALIMA NYANYA HAMJUI MADINI... utadhani zile kamati hazikuwa na watu wanaotoka kusiko na madini... wa hivi wako wengi.. waliojitokeza kusema hadharani ni wachache
4. Umkoa
Mtu anadhani kwa vile Madini yapo Arusha, sijui Shinyanga, Sijui Gesi ipo Mtwara sijui wapo basi wengine wasiongelee suala hilo, simply because hatoki mkoa wenye madini husika