Itawezekana kweli kama Rais anafundisha wakulima wadogo wadogo kukwepa kodi?! Pili, yeye hapo alipo ni free rider: halipi income tax hata theluthi!Cha msingi serikali ingeanza kuwatoza kodi wachimbaji wote kutokana na eneo la vitalu vyao
Wanazuoni huona hiyo kama End of Thinking Capacity(e.t.c)Nia ni nzuri laki madini si kama kuangua nazi kwamba mkwezi anaonekana tangia anavyo panda hadi kushuka ,kwa hili imetumika akili ndogo niwe mkweli tu
Una kazi ngumu sana mkuu. PoleMsubiri ujengwe kwanza.. mengine baadae hayo ya kirafiki waandikieni barua mueleze yenu. Endelea kuandika mnafikiria kufanya nini ukuta ukisimama.. inapendeza sana sana na msifikiri nao hawajui maujanja.
Hahahahaha! Umenikumbusha zile nyimbo za kisukuma... Wasanii wamechoka, nyimbo zimechoka yaani vurugu tupuItawezekana kweli kama Rais anafundisha wakulima wadogo wadogo kukwepa kodi?! Pili, yeye hapo alipo ni free rider: halipi income tax hata theluthi!
Magufuli ni msanii kama Kikwete tu! Tofauti yao ni kwamba: Kikwete ni msanii wa nyimbo za kizazi kipya, Magufuli ni msanii wa nyimbo za kienyeji.
Manyokaa/ wanaapolo kumbuka wanambinu nyingi sana za kujihami ili kutekeleza azimio lao mkuu...kibinafsi ningeomba sana idara husika au hata Mkulu mwenyewe aweze tumbiangoja tupime manyokaa/ wana apolo na wazee wa mabaka nani mkali
Sio hili tuu mipango mingi inayoanzishwa na mukulu inaenda kukwama hana vission anafuata midundo ya kina gamboHabari wana jamvi,
Kama kichwa kisemavyo,
Huu ukuta wa mererani ulioagizwa na mh Magu umezua utata kwa namna ulivgopokelewa hasa na washikadau wa shughuli usika za madini,
Kwanza wameshangaa kutolewa maamuzi ya namna ile ambayo kwayo wamesikitika kwamba kwann nguvu hio na gharama hizo wasingejenga barabara sehemu zenye uhitaji.
Wakaenda mbali zaaidi juu ya washauri wa mh. Magu kana kwamba elimu yao ni yakinadharia tuu imewanyima ujuzi wa uhalisia kufikia maamuzi yasiyo na tija au wanaamua kumpotisha tuu mh. Magu.
Wanasema kama mh. Magu hawajui wachimba madini na wadau wake atakuja shtuka shimo linachimbwa mererani wanapolo wanatokea Arusha au hata chumbani kwa mtu na hapo ndo hasara ya kamera itakapo onekana, pia patakua na njia nyingi tuu za kufanikisha wizi kwa serikali kama serikali haitokuja na sera rafiki, shirikishi katika ukusanyaji kodi.
Mimi ni mzalando!!
Mkuu mimi sio mtaalamu sana wa mambo hayo ya GPRS hebu nitoe ka ushamba kidogo...Kwa uelewa wangu eneo linawekewa mitambo ya gprs ukivuka eneo la uzio hata ukiwa kilometer tano chini ya ardhi inajulikana so kwa hili kuiba ni ngumu, japo huyu sizonje simpendi hata
.....Hao wana apollo tutawafungia gprs tracker, halafu watu wasiojulikana watawafatilia hukohuko chini,
.....Mkuu mimi sio mtaalamu sana wa mambo hayo ya GPRS hebu nitoe ka ushamba kidogo...
Una maana kila mwana apolo atakae ingia chini ya ardhi atafungwa tracking device ya kuonyesha yuko wapi!???? Au nimeelewa vibaya mkuu!??
Nilisemahapakwamba Mgufuli kakurupuka.Habari wana jamvi,
Kama kichwa kisemavyo,
Huu ukuta wa mererani ulioagizwa na mh Magu umezua utata kwa namna ulivgopokelewa hasa na washikadau wa shughuli usika za madini,
Kwanza wameshangaa kutolewa maamuzi ya namna ile ambayo kwayo wamesikitika kwamba kwann nguvu hio na gharama hizo wasingejenga barabara sehemu zenye uhitaji.
Wakaenda mbali zaaidi juu ya washauri wa mh. Magu kana kwamba elimu yao ni yakinadharia tuu imewanyima ujuzi wa uhalisia kufikia maamuzi yasiyo na tija au wanaamua kumpotisha tuu mh. Magu.
Wanasema kama mh. Magu hawajui wachimba madini na wadau wake atakuja shtuka shimo linachimbwa mererani wanapolo wanatokea Arusha au hata chumbani kwa mtu na hapo ndo hasara ya kamera itakapo onekana, pia patakua na njia nyingi tuu za kufanikisha wizi kwa serikali kama serikali haitokuja na sera rafiki, shirikishi katika ukusanyaji kodi.
Mimi ni mzalando!!
Kama low mind wameelewa basi,ndio hicho kinachotafutwa. Kama kuna wimbi la watu wameshangilia inatosha...Mimi niliwahi kuchimba madini huko mererani, nilikuwa najaribu kujiuliza ukuta utasaidiaje? nikawa sipati picha. Labda kama huo ukuta unaweza kupunguza wizi. Sikushangaa sana kwani rais wetu anapenda kudhibiti au kulinda kwa mtazamo wake. Lakini anakosa mbinu sahihi au wanaomshauri wanamshauri anachowashauri wao.
Nilishangaa ili siku aliposema kesho jeshi likaingia na mkwara mkubwa utafakiri ni jambo lenye tija sana. Nimewahi kushauri mara nyingi humu, badala ya jeshi kukaa tu bila kuzalisha mali wakati huu wa amani, ni bora lipewe mashamba makubwa ya kulima kwa kupewa pembejeo kama tractors, combine harvestors, mbolea nk. wazalishe kwa wingi kisha wananchi tunaolima kwa nguvu zetu tuachwe tuuze tunapotaka. Hayo ya jeshi ndio yakajazwe kwenye maghala ya serekali kwa ajili ya njaa na kutunza bei elekezi. Lakini nimeona jeshi limeenda kama roketi kujenga ukuta wakati kama ni madini ndio yako ukingoni. Usishangae ndani ya mwaka huo ukuta ukaanza kuweka ufa kwani sidhani hata kama feasibility study imefanyika. Anyway ndio rais wetu huyo nia njema lakini hana mbinu.
Ahsante kwa kuwa mzalandoHabari wana jamvi,
Kama kichwa kisemavyo,
Huu ukuta wa mererani ulioagizwa na mh Magu umezua utata kwa namna ulivgopokelewa hasa na washikadau wa shughuli usika za madini,
Kwanza wameshangaa kutolewa maamuzi ya namna ile ambayo kwayo wamesikitika kwamba kwann nguvu hio na gharama hizo wasingejenga barabara sehemu zenye uhitaji.
Wakaenda mbali zaaidi juu ya washauri wa mh. Magu kana kwamba elimu yao ni yakinadharia tuu imewanyima ujuzi wa uhalisia kufikia maamuzi yasiyo na tija au wanaamua kumpotisha tuu mh. Magu.
Wanasema kama mh. Magu hawajui wachimba madini na wadau wake atakuja shtuka shimo linachimbwa mererani wanapolo wanatokea Arusha au hata chumbani kwa mtu na hapo ndo hasara ya kamera itakapo onekana, pia patakua na njia nyingi tuu za kufanikisha wizi kwa serikali kama serikali haitokuja na sera rafiki, shirikishi katika ukusanyaji kodi.
Mimi ni mzalando!!
Wewe huelewagi achana na haya mambo!Msubiri ujengwe kwanza.. mengine baadae hayo ya kirafiki waandikieni barua mueleze yenu. Endelea kuandika mnafikiria kufanya nini ukuta ukisimama.. inapendeza sana sana na msifikiri nao hawajui maujanja.