Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,580
- 6,279
Habari wana jamvi,
Kama kichwa kisemavyo,
Huu ukuta wa Mererani ulioagizwa na Mh Magufuli umezua utata kwa namna ulivyopokelewa hasa na washikadau wa shughuli husika za madini.
Kwanza wameshangaa kutolewa maamuzi ya namna ile ambayo kwayo wamesikitika kwamba kwanini nguvu hio na gharama hizo wasingejenga barabara sehemu zenye uhitaji.
Wakaenda mbali zaaidi juu ya washauri wa mh. Magufuli kana kwamba elimu yao ni yakinadharia tuu imewanyima ujuzi wa uhalisia kufikia maamuzi yasiyo na tija au wanaamua kumpotisha tuu mh. Magufuli.
Wanasema kama mh. Magufuli hawajui wachimba madini na wadau wake atakuja shtuka shimo linachimbwa mererani wanapolo wanatokea Arusha au hata chumbani kwa mtu na hapo ndo hasara ya kamera itakapo onekana, pia patakua na njia nyingi tuu za kufanikisha wizi kwa serikali kama serikali haitokuja na sera rafiki, shirikishi katika ukusanyaji kodi.
Mimi ni mzalando!!
Kama kichwa kisemavyo,
Huu ukuta wa Mererani ulioagizwa na Mh Magufuli umezua utata kwa namna ulivyopokelewa hasa na washikadau wa shughuli husika za madini.
Kwanza wameshangaa kutolewa maamuzi ya namna ile ambayo kwayo wamesikitika kwamba kwanini nguvu hio na gharama hizo wasingejenga barabara sehemu zenye uhitaji.
Wakaenda mbali zaaidi juu ya washauri wa mh. Magufuli kana kwamba elimu yao ni yakinadharia tuu imewanyima ujuzi wa uhalisia kufikia maamuzi yasiyo na tija au wanaamua kumpotisha tuu mh. Magufuli.
Wanasema kama mh. Magufuli hawajui wachimba madini na wadau wake atakuja shtuka shimo linachimbwa mererani wanapolo wanatokea Arusha au hata chumbani kwa mtu na hapo ndo hasara ya kamera itakapo onekana, pia patakua na njia nyingi tuu za kufanikisha wizi kwa serikali kama serikali haitokuja na sera rafiki, shirikishi katika ukusanyaji kodi.
Mimi ni mzalando!!