Ukrainian newspaper depicts Africans and Arabs as monkeys

Ukrainian newspaper depicts Africans and Arabs as monkeys

Hao jamaa wamepitwa na utandawazi wakati China na USA wanapigana Vikumbo kuhusu Africa wao wanatudis.
Watakuja omba vibarua uku tukianza chimba URANIUM,CHUMA NA MKAA KULE NAMTUMBO,LIGANGA NA MCHUCHUMA.
Uhamiaji kuweni standby kwa ilo
 
Ukraine will be hosting the Euro 2012 football championship, which is going to attract lots of foreigners. You can't act like you're in a Soviet state anymore."
Halafu mbona mpira wa miguu unadaiwa kuwa unatuunganisha na wakati mambo kama haya ni kama yanaendana sana na mpira wa miguu?

Ukweli napenda sana soka, lakini wadau wake wakubwa wenyewe hawaoni tatizo kuhusiana na ubaguzi, tumeshuhudia issues za kina John Terry na pia Suarez ambapo hata juzi kwenye mechi kati a Man U na Liverpool, mashabiki wa Liverpool walimzomea Patrice Evra ambaye ni victim wa ubaguzi.

Kwahiyo hawajali kuhusu ubaguzi, ni kwamba ushabiki wa timu ni wa maana kuliko ubinadamu, na ndiyo maana kabla ya hiyo mipambano ya kombe la Euro 2012, kama wanajali basi wangewauliza Waukraine kama kutakuwa na usalama wa watu wa races nyingine nk.

Hilo litawezekana kwasababu nadhani FIFA wana kampeni ya "Say No to Racism"
 
Ubaguzi wa rangi kwenye dunia hii hauwezi kuisha. Inauma sana ukikutana na vitendo vya kibaguzi tena ukiwa mhusika.. Ila life has to go on.. Yes mimi ni nyani, kuna shida?!!
 
Kama wanao hauna madhara kama ya hao wenzetu.

Kuna wenye mentality ya kubagua na ku concur na wenye kusema just stay away, weusi more likely the latter.
 
Hakuna mtu mwenye rangi nyeupe asiye mbaguzi kwa mtu mweusi wanatofautiana tu pale mwingine anapoonyesha dhahiri na mwingine inakaa rohoni na kujifanya mwema kwa kuwa kuna kitu cha kumnufaisha anatafuta kwa mweusi husika. Wazungu, wahindi hata warabu (ingawa wengine ni weusi kuliko hata sisi) wamekuwa na utamaduni wa kufikiri wana akili na ni wastaarabu kuliko waafrika weusi lakini mkiwa darasa moja ukawapita wanajifanya wanakupenda kumbe ni kwa sababu umewanyanyasa darasani. Unapoona mtu mweupe anakuheshimu ni uongo kuna kitu anaogopa asipofanya hivyo atakosa kwako. Ni vyema kuwapenda mmoja mmoja kwa jinsi anavyokuchukulia uhusiano wako naye lakini uwe mwangalifu, si ndugu yako wala rafiki yako wa kweli.
 
Hakuna mtu mwenye rangi nyeupe asiye mbaguzi kwa mtu mweusi wanatofautiana tu pale mwingine anapoonyesha dhahiri na mwingine inakaa rohoni na kujifanya mwema kwa kuwa kuna kitu cha kumnufaisha anatafuta kwa mweusi husika. Wazungu, wahindi hata warabu (ingawa wengine ni weusi kuliko hata sisi) wamekuwa na utamaduni wa kufikiri wana akili na ni wastaarabu kuliko waafrika weusi lakini mkiwa darasa moja ukawapita wanajifanya wanakupenda kumbe ni kwa sababu umewanyanyasa darasani. Unapoona mtu mweupe anakuheshimu ni uongo kuna kitu anaogopa asipofanya hivyo atakosa kwako. Ni vyema kuwapenda mmoja mmoja kwa jinsi anavyokuchukulia uhusiano wako naye lakini uwe mwangalifu, si ndugu yako wala rafiki yako wa kweli.
Mkuu ni posti yako ya tatu toka ujiunge mwaka jana, hata hivyo nakubalina na wewe moja kwa moja bila hata chembe ya wasi wasi.

Whatever you have just said, inaonyesha umejifunza, shukran for that.
 
Msiwashangae hao, kwani hata wanaoikubali theory ya Darwin wanakubali kuwa sisi ni manyani (sokwe) tulio evolve. Siikubali hiyo theory ya Darwin.
 
Hivi watu weusi siyo wabaguzi?

wabaguzi ile mbaya acha na sisi tubaguliwe. tunabaguana kwa udini, ukabila jinsia, na hata maskini na matajiri. ila wakitubagua wazungu tunakuja juu kana kwamba sisi ni innocent. acha watubague na sisi tumezidi kutojiamini.
 
wabaguzi ile mbaya acha na sisi tubaguliwe. tunabaguana kwa udini, ukabila jinsia, na hata maskini na matajiri. ila wakitubagua wazungu tunakuja juu kana kwamba sisi ni innocent. acha watubague na sisi tumezidi kutojiamini.

Ubaya wa ubaguzi ni kwamba mara nyingi wabaguzi huwa hawakiri ubaguzi wao!

Na ndo maana unaona hata hapa kuna watu wanasema wazi kabisa kuwa watu weusi si wabaguzi!
 
Msiwashangae hao, kwani hata wanaoikubali theory ya Darwin wanakubali kuwa sisi ni manyani (sokwe) tulio evolve. Siikubali hiyo theory ya Darwin.

That isn't true. Evolution theory postulates that all human being, regardless of the skin color, have evolved from great apes. As a matter of fact the theory emphases that Africa, probably the black man, is the origin of mankind.

Further, manyani (monkeys) and Sokwe (chimpanzees) are two different species. I wonder why you can't accept theory.
 
That isn't true. Evolution theory postulates that all human being, regardless of the skin color, have evolved from great apes. As a matter of fact the theory emphases that Africa, probably the black man, is the origin of mankind.

Further, manyani (monkeys) and Sokwe (chimpanzees) are two different species. I wonder why you can't accept theory.

Sokwes and Nyanis are the nearest to us? whatever you may call them, apes, gorillas, monkeys, what ever species they may be, may be they are your ancestors but not mine, I am not from the apes. Darwin's theory is simply a theory, it is not a fact.
 
Sokwes and Nyanis are the nearest to us? whatever you may call them, apes, gorillas, monkeys, what ever species they may be, may be they are your ancestors but not mine, I am not from the apes. Darwin's theory is simply a theory, it is not a fact.

It isn't Dwarin theory that says they are nearest to us. It's a scientific fact proven by DNA. The fact that you don't want to accept it doesn't mean you are right.
 
A very concise study in to the resilience of man-kind. I just wish he would have let the people speak more on their beliefs, as it is the spiritual strength and set of beliefs that was the fabric for determination in this journey of man. Allowing these ancient people to digest science' explanation, and their views on this would have been a more interesting documentary, rather than dictating what is to a spiritual way of life, still intriguing to watch though.
 
Why the postulation you put forward isn't materialized? What Darwin would have said if he had seen the horrors of the second world war?

Evolutionary thinking enabled [Darwin] to rescue the idea of human unity, taking it over from a religion that no longer provided it with adequate support,(according to Darwin) and put the idea of common descent on a rational foundation. . . . [However, as he aged and] As attitudes to race became harsher, sympathies for black people in the Americas more scant, and the fate of “savages” a matter of indifference, Darwin’s own theorems were blunted by the prevailing fatalism.

As he got older, especially in his famous,The Descent of Man, Darwin fell in line with much of the racist thinking of his day and even developed an early version the perspective later called “social Darwinism”:
 
Hakuna mtu mwenye rangi nyeupe asiye mbaguzi kwa mtu mweusi wanatofautiana tu pale mwingine anapoonyesha dhahiri na mwingine inakaa rohoni na kujifanya mwema kwa kuwa kuna kitu cha kumnufaisha anatafuta kwa mweusi husika. Wazungu, wahindi hata warabu (ingawa wengine ni weusi kuliko hata sisi) wamekuwa na utamaduni wa kufikiri wana akili na ni wastaarabu kuliko waafrika weusi lakini mkiwa darasa moja ukawapita wanajifanya wanakupenda kumbe ni kwa sababu umewanyanyasa darasani. Unapoona mtu mweupe anakuheshimu ni uongo kuna kitu anaogopa asipofanya hivyo atakosa kwako. Ni vyema kuwapenda mmoja mmoja kwa jinsi anavyokuchukulia uhusiano wako naye lakini uwe mwangalifu, si ndugu yako wala rafiki yako wa kweli.

Umeandika kama mtu anayewaelewa vizuri hao so called 'weupe'.Baada ya kuishi nao,ilifikia niamini sawa na haya uliyoandika.Thanks for sharing
 
aaaaajpg-1979081_p9.jpg


A local newspaper in the western Ukrainian city of Ternopil illustrated its front-page story on Tuesday with a photomontage of monkeys groping a woman to depict African and Arab men who had allegedly gotten into a bar fight. Our Observer, a Congolese student living in Ternopil, tells us this has deeply upset African students at his university, who he says are frequently the target of racist attacks.

Nova Ternopil explains that police had to intervene after an African man and an Arab man got into a fight involving a woman at a local bar on the weekend. The headline reads, "Arabs and negroes fight over our prostitutes." The photomontage shows two monkeys groping a white woman in the foreground. In the background, a group of black men are sitting around a table, having a drink. According to our Observer, the men pictured are students at a local university and had nothing to do with the alleged incident.Nova Ternopil could not be reached for comment by press time. As in much of the former Soviet Union, racism remains a common problem in Ukraine, which is overwhelmingly white.

"Ukrainian students reading the newspaper laughed at the picture"

Beckhs Love is a Congolese student studying agricultural technology at Ivan Puluj Technical University in Ternopil. He's lived there for four years. I was in class yesterday when the university's foreign student advisor called and told me to come to his office as soon I could. When I got there, he asked me to close the door behind me. He showed me the newspaper. I couldn't believe what I saw on the front page. I was shocked. First of all, why would a story about a bar fight be on the front page? You would think that would be reserved for real news.

He asked me if I recognized the men in the background of the photo. I did – I knew all of them; they are my fellow students. He told me that this was awful, but that it was a provocation, and asked me to talk to these students and ask them to stay calm. Because I speak better Ukrainian than most African students – of which there are about 300 at our university – I often act as a coordinator between the administration and the francophone students.

When I told the students in the picture about the article, they rushed out to the buy the newspaper. It was easy to find. It turned out the newspaper used an old photo of them for their montage – it was taken long before this fight allegedly took place. We have no idea how the newspaper got their hands on it.

Ukrainian newspaper depicts Africans and Arabs as monkeys - CNN iReport

Unajua Ukraine ni nchi ya tatu ulimwenguni yenye wayahudi wengi?? Inatanguliwa na marekani, israel , Ukraine.

Yule mzee aliyekuwa na vishalubu vya kuchonga alikaa kule miaka 3 akiwatia viboko na kuwapigisha mchaka mchaka na akiwaita hao walioandika hilo gazeti kuwa ni nguluwe
 
Back
Top Bottom