Ukrainian newspaper depicts Africans and Arabs as monkeys

Ukrainian newspaper depicts Africans and Arabs as monkeys

It isn't Dwarin theory that says they are nearest to us. It's a scientific fact proven by DNA. The fact that you don't want to accept it doesn't mean you are right.

Where is yor proof?
 
Ila ukweli usemwe bana, wana wanawake wazuri sana tu. Hamna sababu ya kuwachukia kwa hilo.

Ni kweli. Watu hujipa moyo kuwa uzuri uko katika macho ya mtazamaji, wanajipa moyo kuwa kuna watu wanamwona Jessica Alba au Alicia Keys kuwa ni wabaya sana!!
 
Kwa ujumla dharau wanayopewa (tunayopewa) waafrika haichangiwi sana na tabia ya dharau ya wazungu bali tabia ya waafrika ya kujidharaulisha. Waafrika tu wepesi sana kunyakua vitu hasa vya kutoka mashariki ya kati na kuvibeba kama vilivyo.
 
washamba sana Ukraine wengi wao wamezamia sana scandinavia na hawataki kurudi kwao
la pili wanajidai kuwa ni nchi yenye warembo wazuri duniani ndio maana mtu bara lingine nje ya ulaya
anaonekana hana hadhi ya kuongea na hao mabinti hata awe malaya kama katuni hiyo inavosema.

Na kwa kuongezea tu ni kwamba malaya wengi waliojaa Ulaya Magharibi ni wa kutoka huko huko wakija kama wanafunzi. Halafu hawatembei sana Ulaya kutokana na restrictions kwenye visa kutokana na economical situation.

Wana bahati mwaka huu wanasimamia fainali za Euro 2012 sijui itakuwaje kwa wachzaji weusi.

Ni watu wa kuwapuuza tu.
 
Na kwa kuongezea tu ni kwamba malaya wengi waliojaa Ulaya Magharibi ni wa kutoka huko huko wakija kama wanafunzi. Halafu hawatembei sana Ulaya kutokana na restrictions kwenye visa kutokana na economical situation.

Wana bahati mwaka huu wanasimamia fainali za Euro 2012 sijui itakuwaje kwa wachzaji weusi.

Ni watu wa kuwapuuza tu.

Fascinating !!!!, Isn't? The language you and others use to describe Ukrainians is almost offensive as the language used in the above news paper.
 
Fascinating !!!!, Isn't? The language you and others use to describe Ukrainians is almost offensive as the language used in the above news paper.

I've been living in Europe both East and West for considerable lenght of time, so I know what I am saying.
 
Fascinating !!!!, Isn't? The language you and others use to describe Ukrainians is almost offensive as the language used in the above news paper.
Alafu watu hao hao wanalalamika wao wakisemwa vibaya na wazungu. . .how LAME.
 
Kwa resources mlizo jaaliwa nazo na bado nyie ni maskini wa kutupa huku mkiwashabikia wanasiasa na vyama vilivyo wageuza misukule, mna kila sababu ya kuitwa Nyani
 
Ila ukweli usemwe bana, wana wanawake wazuri sana tu. Hamna sababu ya kuwachukia kwa hilo.

Lizzy hawaoni ndani kwa Czech Republic, kwa maoni yangu.
 
I've been living in Europe both East and West for considerable lenght of time, so I know what I am saying.

Living in Europe for a considerable length of time doesn't give you authority on the issue. You might as well be biased.
 
Living in Europe for a considerable length of time doesn't give you authority on the issue. You might as well be biased.

I don't want to go far on your silly comment, can you explain how it doesn't give me the authority on the issue?
 
BAK mi wivu sina wala roho haiumi...kwahiyo nisaidie picha nijionee.

This issue is very subjective. Tanzanians who have lived in Czech, they will you that the Czech are the best. Those in Poland they will tell you the Poles are the best etc etc. The truth is majority in Eastern Europe came from the same genetic pool, the Slavs.
 
BAK mi wivu sina wala roho haiumi...kwahiyo nisaidie picha nijionee.

Lizzy sina picha, ila katika yale mashindano ya Miss Universe mabinti wa huko na kule Venezuela, Columbia huwa nawaona ni wazuri sana lakini wao 9, 10 wabongo kwa uzuri.
 
I don't want to go far on your silly comment, can you explain how it doesn't give me the authority on the issue?

You give us a subjective analysis based on your own experience.
 
This issue is very subjective. Tanzanians who have lived in Czech, they will you that the Czech are the best. Those in Poland they will tell you the Poles are the best etc etc. The truth is majority in Eastern Europe came from the same genetic pool, the Slavs.

The issue here is about racism depicted on Ukranian newspaper and nothing else.

Lets not walking out of the topic.

Do you think sawing the humans is a good idea?

Czech and Poland are now most industrialized countries providing massive savings for the rest of western Europe ,especially for car manufactures.

But we can have such topic on another thread.
 
You give us a subjective analysis based on your own experience.

Ok I've lived in Ukraine, Poland, Czech, Hungary, UK, na Ireland and I have worked in other European countries.

In all these countries I know who is racist forever, who is pretender, who is your friend and who will kill you in a minute for been black.

So I understand very well the thick headed newspaper editors and their repoters.

Africans are always in the spotlight even when small nut fall over.

I remember the late Dr Remmy Ongala's song- "tembea uone".
 
Ubaguzi wa rangi kwenye dunia hii hauwezi kuisha. Inauma sana ukikutana na vitendo vya kibaguzi tena ukiwa mhusika.. Ila life has to go on.. Yes mimi ni nyani, kuna shida?!!

We sio nyani BJ!!! We binadamu banaa...Kuna tofauti kubwa sana ya Nyani na Binadamu.
 
Back
Top Bottom