Ukraine yaharibu ndege vita za Urusi

Ukraine yaharibu ndege vita za Urusi

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
73,263
Reaction score
103,431
Habari zilizopo kwa sasa na uthibitisho wa video ni kuwa Ukraine imefanikiwa haribu ndege vita zaidi ya 40 ndani ya Urusi.
Haijulikani wamefanikiwa vipi kwani umbali huo FPV drone haziwezi fika

Siku ya jana pia wamefanikiwa lipua madaraja mawili ndani ya Urusi

SSB chini ya Budanov ni habari nyingine
 
Ukraine kaona isiwe taabu we njoo mbele mi nakupiga nyuma kwako na kuharibu madaraja
 
Inasemekana Urusi kaiita hii pearl harbor.
Huenda Akatumia Olenshnik wakati huu au nukes, maana kibano ni kikubwa sana
 
Putin ni mpumbavu mwenye uroho usio na maana

Badala ajenge nchi yake anapalamia nchi za watu bila hata kosa yaan

Kujiunga na umoja fulani wa mataifa, kwa nchi yeyote tangu lini imekuwa kero kwa jirani huyo?

Yaani mfano sis Tanzania kujiunga na NATO, Burundi atukasirikie?
 
Back
Top Bottom