Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,680
- 46,358
Ni upungufu wa maji?
Ni ongezeko la mahitaji?
Ni uchakavu wa miondombinu?
Ni upungufu wa rasilimali watu?
Au haijulikani hasa chanzo cha tatizo ?
Wizara husika, TANESCO na idara za maji waeleze kwa upana tatizo ni nini hasa ili raia waelewe na wachangie mawazo ya kujikwamua kutoka matatizo haya ambayo huja na kuondoka kila miaka.
Ni ongezeko la mahitaji?
Ni uchakavu wa miondombinu?
Ni upungufu wa rasilimali watu?
Au haijulikani hasa chanzo cha tatizo ?
Wizara husika, TANESCO na idara za maji waeleze kwa upana tatizo ni nini hasa ili raia waelewe na wachangie mawazo ya kujikwamua kutoka matatizo haya ambayo huja na kuondoka kila miaka.