Ukosefu wa nyumba za Waalimu Igunga, Mbenge atia neno

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Mar 11, 2018
590
911
Tazama clip/video kuhusu Nyumba ya Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Maweni, Kata ya Nguvumoja Wilaya ya Igunga.

Your browser is not able to display this video.


Inadaiwa kuna ukosefu wa nyumba za Walimu katika shule ya msingi Maweni na kuwafanya walimu kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi shuleni.
 
CCM mbele kwa mbele japo watalaumiwa wapinzani ambao hawajahi shika madaraka.

Ila Hedi ticha akomae tu mbona pako fresh ana mpaka solar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…