TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,447
- 3,460
- Thread starter
- #21
Binti umechoka kuvinjari JF, utamfuata Sabaya soonKuchambia, maana mumeo anaweza kufurahia rangi ya maziwamaziwa huko kwenye nsonyo
Binti umechoka kuvinjari JF, utamfuata Sabaya soonKuchambia, maana mumeo anaweza kufurahia rangi ya maziwamaziwa huko kwenye nsonyo
😡😡😡kwahyo task force kageuka ke!Kuchambia, maana mumeo anaweza kufurahia rangi ya maziwamaziwa huko kwenye nsonyo
Maji huwa ayatabiriki, Ni muhimu tuwe tu na vyombo vya kuhifadhia maji kwa wingi, tatizo kujisahau piaHii tabu ya maji tulikuwa tumesahau ngoja nifanye mchakato wa kununua jaba
Na ilo linachangia pia,Kuna haja wafanye overhaul ya mfumo mzima wa maji kwa awamuHivi mfumo wa maji Dar ulishawahi kufanyiwa matengenezo makubwa ( overhaul)?
Maana tangu tunaishi Dar ya watu milioni moja, mpaka leo Dar ya watu milioni saba, kama mfumo haujafanyiwa overhaul basi matatizo hayawezi kuisha.
Uyu shoga ako hana adabu kabisa!!🤒😡😡😡kwahyo task force kageuka ke!
ayo itakuwa ni ya upako sio ya Dawasco my sisterMi.mbona nimechota leo asubuhi sana, japo yalikuwa yanatoka kidoogo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lini kawa me? Labda ni shemale, Ila navyojua ni ke[emoji35][emoji35][emoji35]kwahyo task force kageuka ke!
Dawasco hii dear...tena asubuhi sana saa 11ayo itakuwa ni ya upako sio ya Dawasco my sister
Hahahahahhaahaa...mna hatari sana nyieUyu shoga ako hana adabu kabisa!!🤒
😀😀 shindwa ewe mccmLini kawa me? Labda ni shemale, Ila navyojua ni ke
Bint naona mimba ya safari hii inakupeleka puta!!"Lini kawa me? Labda ni shemale, Ila navyojua ni ke
basi ulibahatika mwenzetu!Dawasco hii dear...tena asubuhi sana saa 11
Ila presha haikuwa kubwa kama ilivyo ada
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nipo na Mama Samia, kazi iendelee. Nyie wenzetu mmezoea stress za kumsubiri Lissu aingie ikulu.[emoji3][emoji3] shindwa ewe mccm
Tumia maziwa mumeo leo afurahiBint naona mimba ya safari hii inakupeleka puta!!"
Kazi iendelee mkuu..ni SSH tu!Nipo na Mama Samia, kazi iendelee. Nyie wenzetu mmezoea stress za kumsubiri Lissu aingie ikulu.
Mama Samia mpaka 2030..........
Lissu vipi?Kazi iendelee mkuu..ni SSH tu!