Ukosefu wa maji Dar es Salaam, Tatizo nini?

Ukosefu wa maji Dar es Salaam, Tatizo nini?

Aisee hawa DAWASCO wanatesa watu, siku ya pili leo maeneo Jimbo la Kawe hakuna maji kabisa, Tatizo nini haswa?
Siku ya pili unalalamika wenzenu Nzuguni Dodoma tuna mwezi waziri akiulizwa anasema tupo kwenye mchakato basi tumekata tamaa.
 
Siku ya pili unalalamika wenzenu Nzuguni Dodoma tuna mwezi waziri akiulizwa anasema tupo kwenye mchakato basi tumekata tamaa.
Kwa uko dodoma hata msipopewa kabisa huduma ya maji ni sawa tu kwakweli!!!😎
 
Back
Top Bottom