TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,447
- 3,460
Aisee hawa DAWASCO wanatesa watu, siku ya pili leo maeneo Jimbo la Kawe hakuna maji kabisa, Tatizo nini haswa?
Na walisema masaa 24, huku kwetu tunaenda masaa 48 sasaAisee Hawa Dawasco wanatesa watu, siku ya pili leo maeneo Jimbo la kawe hakuna maji kabisa, Tatizo nini aswa
Muwe wavumilivu tunarekebisha mitambo tuanze ku supply maziwa.Aisee Hawa Dawasco wanatesa watu, siku ya pili leo maeneo Jimbo la kawe hakuna maji kabisa, Tatizo nini aswa
Dah, Haya mkuu tunavuta subira, ila yawe mtindiMuwe wavumilivu tunarekebisha mitambo tuanze ku supply maziwa.
Ni kero kwakweli.Na walisema masaa 24, huku kwetu tunaenda masaa 48 sasa
Huenda mpaka kesho au keshokutwa maana nmeona kwa millard ndo matengenezo yamefika 30% sasa kama jana mpaka leo ni 30% hiyo 70% haiwez malizika leoNa walisema masaa 24, huku kwetu tunaenda masaa 48 sasa
Duh, mi kwangu Tank imekufa lile boya la ndani, kumbe maji yaliisha kitamboHata Sinza hamna na uvuvi wangu leo wameniweza kweli naamka hakuna maji aisee imenibidi ninawe kutumia maziwa
HatariHuenda mpaka kesho au keshokutwa maana nmeona kwa millard ndo matengenezo yamefika 30% sasa kama jana mpaka leo ni 30% hiyo 70% haiwez malizika leo
Hii tabu ya maji tulikuwa tumesahau ngoja nifanye mchakato wa kununua jabaduh, mi kwangu Tank imekufa lile boya la ndani, kumbe maji yaliisha kitambo
Eeh, ina maana hiyo ni kesho Sasa sio leoMbona walitangaza mkuu kuwa bomba kubwa la 45cm lilipasuka na hivyo kutakuwa kuna uhaba wa maji kuanzia bagamoyo mpaka kigamboni kwa siku 2 wakati wakirekebisha. Na nmeona kwa millard kuwa kazi imefika 30%.
Hakuna anaemlaumu mama, Dikteta aliwanunulisha mamlaka ya maji mabomba mepesi ndiomaana yamepasukaNunueni maji ya uhai,kilimanjaro, dasani, afya,hill water, dew drop mnywe na muoge, msimsumbue mama, kwani shida ni nini?
Kuchambia, maana mumeo anaweza kufurahia rangi ya maziwamaziwa huko kwenye nsonyokuchambia au kuogea mkuu, duh
Duh, mbona shughuli sasa!Huenda mpaka kesho au keshokutwa maana nmeona kwa millard ndo matengenezo yamefika 30% sasa kama jana mpaka leo ni 30% hiyo 70% haiwez malizika leo
😂😂😂😂Duh, mi kwangu Tank imekufa lile boya la ndani, kumbe maji yaliisha kitambo
Tunapambana na maji ya chumvi tu😂😂😂😂