TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,377
Nina uchungu.
Hakuna mzee hata mmoja wa kuonya Mkapa, Mwinyi hawapo.
Mzee Mkapa ndiye alikuwa anauthubutu wa kusema wazi na kukemea yeyote kwenye nchi hii ukitoa Baba wa Taifa.
Kwa sasa nchi haina powerful end say, ndiyo tujifunze kushabikia wanasiasa vizuri.
Nchi haina baba na waliopo ndiyo haya anaotokea. Bahati mbaya watanzania tunaamshwa ila bado tunaota majahazi yanamwaga samaki baharini.
Nani kamloga mwenzake?.
Hakuna mzee hata mmoja wa kuonya Mkapa, Mwinyi hawapo.
Mzee Mkapa ndiye alikuwa anauthubutu wa kusema wazi na kukemea yeyote kwenye nchi hii ukitoa Baba wa Taifa.
Kwa sasa nchi haina powerful end say, ndiyo tujifunze kushabikia wanasiasa vizuri.
Nchi haina baba na waliopo ndiyo haya anaotokea. Bahati mbaya watanzania tunaamshwa ila bado tunaota majahazi yanamwaga samaki baharini.
Nani kamloga mwenzake?.