mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 461
Nafasi za Mpambe wa Hayati Magufuli pamoja na Walinzi wake unatakiwa kukoma lini?
Au pia na wao wanakuwa na mkataba?
Je, kama wana mkataba unakoma baada ya kiongozi wao kukosa uzima wa kuishi?
Naombeni watalamu watolee ufafanuzi.
Au pia na wao wanakuwa na mkataba?
Je, kama wana mkataba unakoma baada ya kiongozi wao kukosa uzima wa kuishi?
Naombeni watalamu watolee ufafanuzi.