Ukombozi wa wasio na ajira

Ukombozi wa wasio na ajira

MTOTO KITAA

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
245
Reaction score
116
Wadau heshima kwenu, tuna harakati za mwezi
mmoja na nusu sasa, katika kuanzisha jumuiya kubwa tanzania, lenye jina
la tanzania graduate association, lengo letu kubwa ni kuweza kujiajiri
sisi wenyewe, kwani tumezungumza na tunaendelea kuzungumza na viongozi
mbalimbali kwa lengo la kupata ardhi kubwa kwa ajiri ya kilimo na
ufugaji, hivyo mpaka sasa tunaenda kuisajili wizara ya mambo ya ndani,
na wiki iliyopita tumemaliza kupitisha katiba ya jumuiya. jumuiya hii
itakuwa na mambo yafuatayo, graduate saccos, makampuni tofauti tofauti,
na pia tunalenga kuwa na benk yetu ya graduate, na pia kujiingiza kwenye
masoko ya hisa.

Lengo ni kupanuka tanzania nzima, kuwa na matawi kila wilaya, hivyo
milango ipo wazi kwa kila mtu kujiunga na sisi, tutakuwa na kikao siku
ya jumamosi, saa 8 mchana, ukumbi wa seminar pale chuo kikuu cha dar es
salam, angalizo, sisi hatuusiki na siasa na wala hatushabikii chama
chochote. kwa mawasiliano, 0757950376; pia tunaopatikana kwenye group la watsap kwa namba 0717309119/ 0757950376;

Asanten
 
wadau, mtanisamehe kwa uandishi wangu, kwani nimeandika faster faster, kwani nipo kwenye majukumu ya kujenga taifa.
 
huu mchakato lazima mbele utekwe na wanasiasa maana wana nguvu sana ya ushawishi hawa jamaa. hilo halina mjadala ila ni wazo nzuri,
 
Wazo lako/Lenu ni zuri sana, Ila ushauri wangu ni kwamba anzeni wachache na anzeni kidogo kidogo hayo ya Benki na kujiingiza kwenye masoko ya hisa yana hitaji long plan ni mambo ya my 20 years hado 30 years na ili uweze kuingia kwenye masoko ya hisa inategemeana na matokeo ya unacho fanya.

Hata mkipata aridhi kama hakuna mipango na commitment ni kazi bure mkuu, so ni lazima kikundi chenu hata watu 10 muanze kuliko kusubili kukusanya watu wengi sana ndo muanze ambapo hapo kila mtu anamategemeo yake.

Commitement ni mihumu kuliko vitu vyote hapo mnaweza ona mko wengi kumbe walio commited ni wa tatu tu, na si washauri kusajiri association ni bora mjipange msajiri kampuni kabisa ila ni baada ya kuwa mmeanza kazi.
 
Wazo lako/Lenu ni zuri sana, Ila ushauri wangu ni kwamba anzeni wachache na anzeni kidogo kidogo hayo ya Benki na kujiingiza kwenye masoko ya hisa yana hitaji long plan ni mambo ya my 20 years hado 30 years na ili uweze kuingia kwenye masoko ya hisa inategemeana na matokeo ya unacho fanya.

Hata mkipata aridhi kama hakuna mipango na commitment ni kazi bure mkuu, so ni lazima kikundi chenu hata watu 10 muanze kuliko kusubili kukusanya watu wengi sana ndo muanze ambapo hapo kila mtu anamategemeo yake.

Commitement ni mihumu kuliko vitu vyote hapo mnaweza ona mko wengi kumbe walio commited ni wa tatu tu, na si washauri kusajiri association ni bora mjipange msajiri kampuni kabisa ila ni baada ya kuwa mmeanza kazi.

Kuna Logic Kubwa sana Inayotokana na uzoefu kwenye ushauri huu. MTOTO KITAA Jaribu kuuzingatia sana ushauri huu. Wakati Unatoka Kutambaa Usifikirie kusimama na kukimbia. Lazima ujenge Foundation nzuri ya kutembea Kwanza baadae utakua mkimbiaji mzuri. Wengi tunatamani Idea hiyo iwe hai na yenye nguvu
 
Wadau heshima kwenu, tuna harakati za mwezi
mmoja na nusu sasa, katika kuanzisha jumuiya kubwa tanzania, lenye jina
la tanzania graduate association, lengo letu kubwa ni kuweza kujiajiri
sisi wenyewe, kwani tumezungumza na tunaendelea kuzungumza na viongozi
mbalimbali kwa lengo la kupata ardhi kubwa kwa ajiri ya kilimo na
ufugaji, hivyo mpaka sasa tunaenda kuisajili wizara ya mambo ya ndani,
na wiki iliyopita tumemaliza kupitisha katiba ya jumuiya. jumuiya hii
itakuwa na mambo yafuatayo, graduate saccos, makampuni tofauti tofauti,
na pia tunalenga kuwa na benk yetu ya graduate, na pia kujiingiza kwenye
masoko ya hisa.

Lengo ni kupanuka tanzania nzima, kuwa na matawi kila wilaya, hivyo
milango ipo wazi kwa kila mtu kujiunga na sisi, tutakuwa na kikao siku
ya jumamosi, saa 8 mchana, ukumbi wa seminar pale chuo kikuu cha dar es
salam, angalizo, sisi hatuusiki na siasa na wala hatushabikii chama
chochote. kwa mawasiliano, 0757950376; pia tunaopatikana kwenye group la watsap kwa namba 0717309119/ 0757950376;

Asanten

Idea nzuri sana vijana. Nilitaka anzisha mwaka Jana lakini wenzangu hawakua commited. Idea ilikua kupata eneo rufiji basin by that time. I wish kujoin kama mnamaanisha kiukweli na si kwa sababu huna ajira ndio mnakuja na plan iyo na baada tuu ya kupata ajira mnaitia kapuni.HONGERENI
 
Ni jambo jema sana, mm hilo wazo nililifikiria tangu niko chuoni mwaka jana 2013, bila kusita nikaanzisha kikundi kiko hivo hivo na operational divisions kama kilimo, mifugo, microfinancing, social caring, mazingira na cheti ninacho cha usajiri...! Mm niko dar ila makao makuu ya kikundi kiko moro, ninampango mwakani nisajiri iwe company, nilikuwa dreams kubwa kama zako ila mpaka sasa nina matawi matatu tu mbeya, mwanza na moshi ukiacha HQ moro....! nakuambia ni shughuli balaa!! coz hata huko kwenye masoko ya hisa(DSE) nilipeleka proposal nikashauriwa kujiunga na DSE-EGM yaani Enterprises Growth Market ambayo makampuni madogo yanaweza kujiunga lkn pia nikakwama coz lazima uwe na Org-value of atleast 200millions ndo uingie EGM, My take mm nakushauri labda unaweza ukawa msaada kwangu kama kweli una nia, tukae chini tukiboreshe cha kwangu tufungue na matawi mengine mikoa nyenye mwamko kama dar, tuangalie na nyenzo zingine zitakazotusaidia ku-move forward tufanye, mm najua usumbufu uliopo. " Ni bora kufanya kazi peke yako kuliko kufanya kazi na gruop la watu, tena wenye mitizamo tofauti" lkn no way out lazima tukubaliane na hayo mazingira tu-join force tupige kazi....!! If you're willing call me at 0763863919
Thanks in advance
 
Naona hii ni kwa ajili ya graduates tu, kwani tatizo la ajira ni la graduates tu? Na hizo Bank zitahudumia tu graduates ama na na wasiosoma?
 
Mi nashauri msiihusishe Clouds FM hata robo,maana ni wezi wa Fursa za watu

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom