Ukombozi wa wasio na ajira

Ukombozi wa wasio na ajira

Nice idea na je wanaotarajia kugraduate Wanaruhusiwa kujiunga,???
 
hongereni sana vijana ni wazo jema sana jibaneni zaidi na "**ccm**" ili mnufaike kwa haraka zaidi vijana
 
mkuu hatuwezi kubeba wote,ila kwa sasa tunaanza na hawa wenye ujuzi kwanza, kisha tutakuja na wengine, kwani wapo kwenye mipango yetu ya mda mrefu.
Mkuu kuna form six leavers wengine wana wana ujuzi wa fani mbalimbali kuliko hata hao graduates.Hivi unajua kwamba kwenye taasisi nyingi tu au ofisi za umma kuna form six na four wengi tu?Na wengine walishafanya kazi huko lkn sasa hivi wapo mitaani kwa namna moja au nyingine?
 
Back
Top Bottom