Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ukiitizama Tanzania ya leo na ukawatizama watanganyika wa leo katika kudai upya na kupigania uhuru wao kwa mara ya pili hakika utaona kama ni Tripoli basi ni Arusha,kama ni Alexandria basi ni Mbeya,kama ni Tunis basi ni Mwanza,kama ni Benghazi basi ni Kagera na kama ni Cairo basi ni Shinyanga
Sijaitaja Dar Kwa makusudi kabisa kwani mbali ya kuwa mji muhimu kibiashara hauna vitu (rasirimali) kama ilivyo miji hapo juu,hii miji ndo mahali ambapo harakati zinatakiwa kuanzia kutokana na ukweli kwamba zaidi ya 60% ya mapato ya nchi yanatoka kanda ya ziwa na kwa kusini ni Mbeya,kwa vile maeneo haya yana mchango mkubwa katika kuendeleza nchi yetu na bado maendeleo yao ni mabovu kwa vyovyote vile mikoa hii inanyonywa na watu wanabaki maskini
Ndugu zetu amkeni mtuongoze kwenye harakati maana resources nyingi mnazo nyinyi ikiwa ni pamoja na watu,sitegemei miji km Moro,Sing,Dom,Tabo,Pwani na Tanga wanaweza kuamka ikiwa wao hawana kinachowapa uchungu,hawana madini,hawana kilimo wala mambo makubwa eti waamke kabla nyinyi kuamka na hata rasirimali watu (wasomi) miji tajwa hapo juu mna hazina kubwa ya wasomi na hakika tunaamini mko mbali kielimu,tunaomba muwe taa zetu ili vuguvugu hili lifike kila kona ya Tanganyika
Naililia Tanganyika inayotimiza miaka 50 ya uhuru wa bendera huku yenyewe ikiwa imetiwa minyororo jela
Sijaitaja Dar Kwa makusudi kabisa kwani mbali ya kuwa mji muhimu kibiashara hauna vitu (rasirimali) kama ilivyo miji hapo juu,hii miji ndo mahali ambapo harakati zinatakiwa kuanzia kutokana na ukweli kwamba zaidi ya 60% ya mapato ya nchi yanatoka kanda ya ziwa na kwa kusini ni Mbeya,kwa vile maeneo haya yana mchango mkubwa katika kuendeleza nchi yetu na bado maendeleo yao ni mabovu kwa vyovyote vile mikoa hii inanyonywa na watu wanabaki maskini
Ndugu zetu amkeni mtuongoze kwenye harakati maana resources nyingi mnazo nyinyi ikiwa ni pamoja na watu,sitegemei miji km Moro,Sing,Dom,Tabo,Pwani na Tanga wanaweza kuamka ikiwa wao hawana kinachowapa uchungu,hawana madini,hawana kilimo wala mambo makubwa eti waamke kabla nyinyi kuamka na hata rasirimali watu (wasomi) miji tajwa hapo juu mna hazina kubwa ya wasomi na hakika tunaamini mko mbali kielimu,tunaomba muwe taa zetu ili vuguvugu hili lifike kila kona ya Tanganyika
Naililia Tanganyika inayotimiza miaka 50 ya uhuru wa bendera huku yenyewe ikiwa imetiwa minyororo jela