Ukombozi wa Taifa hili utaanzia Mbeya

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,891
155,895
Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.

Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.

Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.

Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.

Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.

Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.

Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
 
Mpango ulioanzia Mbeya ukiongozwa na Adv. Mwabukusi kuhusu kudai bandari zetu nimeupenda sana, kama pangetokea wengine wafanye jambo kama lile mikoa mingine, hakika hii nchi ingeamka asubuhi na mapema.

Hata kama patakuwepo vikundi vya wacheza ngoma kama kina Spika Tulia kujaribu kupindisha ukweli, lakini inafahamika wazi, watanganyika sio wajinga, Tulia na wenzake ndio wajinga.
 
Mbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi.

Wasomi wa mwanzo kwao wengi walikua wanasheria, jamii ya Mbeya inaamini mwanasheria ndio msomi, na kushinda kesi au kuendeleza kesi baada ya kushindwa ni jambo la kishujaa kwao.

Ukitaka kujua Mbeya hawajielewi angalia kwenye takwimu za kitaifa kwa halmashauri kila mwaka kuna wilaya za Mbeya zipo juu (among top ten) kwenye Ukimwi, Mauwaji, Utapiamlo kwa watoto (pamoja na wingi wa vyakula walivyojaaliwa), na ushirikina.
 
Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.

Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.

Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.

Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.

Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.

Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.

Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aiseeee...... hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?

Ikianzia Mbeya, mikoa mingineifuate.

Hivi Arusha kuna nini maana kwa muda sasa viongozi wakuu wa nchi wanapishana, huyu akitoka, mwingine anaingia. Ni mwendo wa mikutano na vikao tu.
 
Mpango ulioanzia Mbeya ukiongozwa na Adv. Mwabukusi kuhusu kudai bandari zetu nimeupenda sana, kama pangetokea wengine wafanye jambo kama lile mikoa mingine, hakika hii nchi ingeamka asubuhi na mapema.

Hata kama patakuwepo vikundi vya wacheza ngoma kama kina Spika Tulia kujaribu kupindisha ukweli, lakini inafahamika wazi, watanganyika sio wajinga, Tulia na wenzake ndio wajinga.
Kina Tulia mambo yamewachachia hadi wanaomba wazee wa mila wawaloge kia Mwabukusi
 
Mbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi.

Wasomi wa mwanzo kwao wengi walikua wanasheria, jamii ya Mbeya inaamini mwanasheria ndio msomi, na kushinda kesi au kuendeleza kesi baada ya kushindwa ni jambo la kishujaa kwao.

Ukitaka kujua Mbeya hawajielewi angalia kwenye takwimu za kitaifa kwa halmashauri kila mwaka kuna wilaya za Mbeya zipo juu (among top ten) kwenye Ukimwi, Mauwaji, Utapiamlo kwa watoto (pamoja na wingi wa vyakula walivyojaaliwa), na ushirikina.
Weka data mkuu.
Je unajua Mbeya ni miongoni mwa mikoa yenye maprofesa wengi? Mark Mwandosya ni mhandisi wa mawasiliano, David Homely Mwakyusa ni daktari bingwa mbobezi.

Hapo hatujawagusa wasomi wa zamani wa kwenye nyanja mbalimbali
 
Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.

Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.

Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.

Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.

Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.

Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.

Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aiseeee...... hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Mlikuwa wapi miaka yote? Majimbo yote yamejaa wabunge wa ccm harafu unaongea pumba hapa.

Nyie Machadema Huwa mnajifariji sana Kwa mihemko 🤣🤣
 
Mbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi.

Wasomi wa mwanzo kwao wengi walikua wanasheria, jamii ya Mbeya inaamini mwanasheria ndio msomi, na kushinda kesi au kuendeleza kesi baada ya kushindwa ni jambo la kishujaa kwao.

Ukitaka kujua Mbeya hawajielewi angalia kwenye takwimu za kitaifa kwa halmashauri kila mwaka kuna wilaya za Mbeya zipo juu (among top ten) kwenye Ukimwi, Mauwaji, Utapiamlo kwa watoto (pamoja na wingi wa vyakula walivyojaaliwa), na ushirikina.
naona unaumia Mbeya kukiwasha kuhusu bandari.Usikute huko kwenu wamekubaliana na uuzwaji wa Bandari.....poor you!
 
Mpango ulioanzia Mbeya ukiongozwa na Adv. Mwabukusi kuhusu kudai bandari zetu nimeupenda sana, kama pangetokea wengine wafanye jambo kama lile mikoa mingine, hakika hii nchi ingeamka asubuhi na mapema.

Hata kama patakuwepo vikundi vya wacheza ngoma kama kina Spika Tulia kujaribu kupindisha ukweli, lakini inafahamika wazi, watanganyika sio wajinga, Tulia na wenzake ndio wajinga.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe
 
Wewe ni mbumbumbu, chini ya Magu uchaguzi gani ulikuwa huru na haki?
Magu ni kisingizio kama mtakavyosingizia hata 2025 maana hata Sasa mnasema Samia ni dikteta anachowafanya ndicho Mwendazake aliwafanya.

Uchaguzi wa Vyama vingi haukuanzia Kwa Magu ,acheni ujinga na mihemko ya Twitter nyie nyumbu.
 
Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.

Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.

Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.

Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.

Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.

Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.

Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aiseeee...... hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Sidhani, kiki tu hizo. Shingo haipiti kichwa.
 
Mbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi.

Wasomi wa mwanzo kwao wengi walikua wanasheria, jamii ya Mbeya inaamini mwanasheria ndio msomi, na kushinda kesi au kuendeleza kesi baada ya kushindwa ni jambo la kishujaa kwao.

Ukitaka kujua Mbeya hawajielewi angalia kwenye takwimu za kitaifa kwa halmashauri kila mwaka kuna wilaya za Mbeya zipo juu (among top ten) kwenye Ukimwi, Mauwaji, Utapiamlo kwa watoto (pamoja na wingi wa vyakula walivyojaaliwa), na ushirikina.
Una chuki na green city sio bure, leta hizo takwimu hapa.

Mambo ya mauaji tushawaachia chuga na usukumani huko.
 
Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.

Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.

Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.

Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.

Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.

Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.

Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aiseeee...... hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Ughonile malafyale?Twa kukajha?Nipo na gudada gwangu hapa Itete!🙏😂
 
Magu ni kisingizio kama mtakavyosingizia hata 2025 maana hata Sasa mnasema Samia ni dikteta anachowafanya ndicho Mwendazake aliwafanya.

Uchaguzi wa Vyama vingi haukuanzia Kwa Magu ,acheni ujinga na mihemko ya Twitter nyie nyumbu.
Uchaguzi wa nchi hiì ni wa upande mmoja. Anayegombea urais wa chama fulani ndiye ameiweka tume ya uchaguzi madarakani, hapo haki na usawa vitatoka wapi? Ndio maana tunasema lazima tupate katiba mpya
 
Mbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi.

Wasomi wa mwanzo kwao wengi walikua wanasheria, jamii ya Mbeya inaamini mwanasheria ndio msomi, na kushinda kesi au kuendeleza kesi baada ya kushindwa ni jambo la kishujaa kwao.

Ukitaka kujua Mbeya hawajielewi angalia kwenye takwimu za kitaifa kwa halmashauri kila mwaka kuna wilaya za Mbeya zipo juu (among top ten) kwenye Ukimwi, Mauwaji, Utapiamlo kwa watoto (pamoja na wingi wa vyakula walivyojaaliwa), na ushirikina.
Mind crippled
 
Back
Top Bottom