FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,125
- 109,559
Hii safi sana, mimi nimeipenda sana.
Wakajionee jinsi mawakili wao uchwara wanavyogaragazwa kisheria.
Na wanachi wanaodanganywa danganywa watapata fundisho la kuelewa maana ya agreements na Contracts.
Hapo serikali iitumie hii fursa, ni nzuri sana.
Wakajionee jinsi mawakili wao uchwara wanavyogaragazwa kisheria.
Na wanachi wanaodanganywa danganywa watapata fundisho la kuelewa maana ya agreements na Contracts.
Hapo serikali iitumie hii fursa, ni nzuri sana.