Ukokotoaji wa bei za mafuta yanayopokelewa bandari ya Dar es Salaam (mfano petrol/lita)

Moderators naomba mtoe pongezi kwa mleta mada hoja yake imefika bungeni kuhusu break down ya gharama

Mimi CCM huwa napingana naye kila kona lakini leo kashusha hoja ya nguvu hongera kwake Mshana Jr

Haya ndio matumizi mazuri ya mtandao unashusha hoja za nguvu hadi bunge linaahirisha shughuli zske

Mshana jr hoyee
Dah siamini ujue.. kweli kukichwa kutapambazuka.. Nimekupa like YEHODAYA sasa naomba tuwe marafiki no hate no fear
 
IMG-20220505-WA0296.jpg
IMG-20220505-WA0298.jpg
 
1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita


Jumla kabisa bei ya rejareja vituoni = 2405 Tshs/Lita..

Hizi ziko ndani ya uwezo wetu na sio huko duniani...

Kama kupunguzwa ipunguzwe tuu
Vita ya Putin isiwe kisingizio

Sent as received!
Kwahiyo wametumia kisingizio Cha vita kutupiga/kutunyonya?
Nilisikia kipindi imeshushwa 100Tshs walipata hasara ya 30B. Sasa wameongeza 800Tshs Kwa mwezi wote wa may watapata zaidi ya 300B.
Halafu wanatoa 100B ya ruzuku😂😂
 
Huu mpango ni wa makusudi wa kuongeza bei kwenye mafuta ili watu waanze kuhamia kwenye gesi. Biashara ya gesi inatakiwa kupigwa tafu ya kilazima ili utumiaji wa mafuta upunguwe kwani ekolojia inaharibika.
Mkuu iyo gesi yenyewe inazalishwa hapa bongo lakin nayo aikamatiki kabisa bado ipo juu sana embu fikiria kale kamtungi kadogo kanajazwa kwa elf ishirin na tano Yan ni kubwa mno
 
Kwahiyo wametumia kisingizio Cha vita kutupiga/kutunyonya?
Nilisikia kipindi imeshushwa 100Tshs walipata hasara ya 30B. Sasa wameongeza 800Tshs Kwa mwezi wote wa may watapata zaidi ya 300B.
Halafu wanatoa 100B ya ruzuku
Wametukomesha
 
Hii nchi tunayataka wenyewe wananchi, sisi tumekuwa watu wa hewala hewala saana, sasa hawa kenge washaona wanatuweza bado kutushika makalio tu.
Ulaya walitwangana viongozi na wananchi hadi heshima ikaja,hadi wote wanaheshimu kodi. Mtawala ukila kodi ya wananchi unashughulikiwa na wananchi hivyo hivyo mwananchi usipolipa kodi utashughulikiwa hasa. Sisi bado tunacheza na wezi.
 
Ulaya walitwangana viongozi na wananchi hadi heshima ikaja,hadi wote wanaheshimu kodi. Mtawala ukila kodi ya wananchi unashughulikiwa na wananchi hivyo hivyo mwananchi usipolipa kodi utashughulikiwa hasa. Sisi bado tunacheza na wezi.
Hiki ndicho haswa wabongo tunakosa, tupo tupo kama mazuzu tu, ukiingia kwenye daladala mtu anagombana na konda, hasira zetu za kikenge kikenge tungehamishia kwa serika, tusingekuwa kwenye ujinga huu, haya tunayataka sisi wananchi
 
Back
Top Bottom