Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,447
Wakuu tuache ushabiki lakini kwenye hili Kinana inabidi awajibike kwa kuwadanganya watanzania na possibly kufanya forgery. CCM need to immediately come clean on this..............
Inawezekana vp risiti iliyotolewa tarehe 31/08/2010 ikawa na serial no. 00868727
na ile iliyotolewa tarehe 14/09/2010 ikawa na serial no. 00867609
Kama kawaida yao kuchukulia mambo rahisi rahisi na kwa utetezi rahisi watasema kuna vitabu vya risiti zaidi ya kimoja but why?????? Govt flight agency yenye ndege mbili tu iwe na vitabu viwili? Is that place that busy that much? Hapana hapa Kinana umechakachua tu, na kwa utaratibu wa kibongobongo usikute kuna jamaa alipewa hiyo kazi ya kuafuta risiti, he got them na no body akagundua upuuzi huu kwa sababu ya desperation. Vile vile by the look of first 4 numbers very likely ni kutoka kitabu kimoja au vinavyoongozana. Sasa iweje the ya mbele iwe ya mwanzo??????
Yaani hata mwalimu wangu in the 80's was smatter than this kugundua forgery za tiketi zan mabasi.
Nimewahi kuona hapo Tz watu wana birth certificate zilizotolewa Dec 25. au May 01, kama ile akaunti ya Tangold ilivyofunguliwa.
Risiti iliyotolewa tarehe 14/09/2010
Risiti iliyotolewa tarehe 31/08/2010
Note: Mods baadae changanya hii thread na nyingine zinazofanana
Hiki ndicho nilichotaka kusema kwa sababu nilikuwa na mashaka sana na mpangilio wa namba za risti hizo, ila nikakwama katika kutafuta sheria iliyotunga agency hiyo. Nilitaka kujua pia majukumu ya agency hiyo kisheria; nimetafuta pale Bunge nikachoka na kukata tamaa. Ila nina wasiwasi mkubwa sana na legitimacy ya invoice hizo alizoonyesha Kinana na uhalali wa matumizi ya ndege hizo kwa shughuli za binasfi; nilikuwa ninaamini kuwa ndege zile zinakodishwa na wizara kwa shughuli za kiserikali tu, ila nilitaka kujiaminisha kwa kusoma sheria inasemaje.
Kilichonishangaza zaidi ni lile pengo liliopo baina ya invoice hizo mbili katika kipindi cha wiki mbili tu ukichukulia kuwa wao wanaandika invoce zao kinyume nyume, utadhani kuwa Agency hiyo ina biashara nyingi sana kiasi cha kuwa na wateja zaidi ya 500 kwa wiki!!