Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu issue ya kukodi ndege hizo inawezekana. Kitu ninaweza kuomba kama Kinana anao ujasiri wa kuonyesha kila kitu in black and white aturuhusu tukague kama ndege hiyo ilitumikaje na kwa safari za lini, kwendas wapi na kwa kipindi gani. Lazima tutagundua kuna kuchakachuliwa tu.
Hizo risti hazionyeshi ni kwa safari za kwenda wapi na wapi maana watumishi wa CCM wamefanya safari nyingi sana mbali na ile ya mama Kikwete.
Tunaomba tuone na hiyo ya choppers hizo tatu zinazozunguka hewani na huyo mgonjwa.
Hizo risti hazionyeshi ni kwa safari za kwenda wapi na wapi maana watumishi wa CCM wamefanya safari nyingi sana mbali na ile ya mama Kikwete.
Tunaomba tuone na hiyo ya choppers hizo tatu zinazozunguka hewani na huyo mgonjwa.