Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,110
- 173,842
Gharama yako kulipia loji tu, kula anakula kwake na anakuja ameshashiba.Sasa kama hajuwi na wewe hujuwi kama yeye mke wa mtu lazima akupige..
Wake za watu hawana gharama mkuu ,pengine alikuwa na shida ndy hapo alipoangukia.
Hivi Mke wa mtu mfano.
-Atakula kwa mumewe.
-Nguo kwa mumewe.
-Akiuguwa mumewe..
-- kwao kuna matatizo anagharamia mumewe.
--Matumizi madogo madogo na makubwa pia mumewe.
Wewe una gharama gani?